Hutokuja kuamini utakachokiona hiyo october omba mungu akupe uhaiChadema kwa sasa haina viongozi makini.wamebaki wapiga domo tu.huku mtaani watu hawajui hata kama leo katibu wa chadema kasema jambo flani.kwa kifupi Chadema imeshakufa ipo monchwari mazishi ni October 2020.
Nyota njema huonekana asubui.upo!! by bi FaizaFoxyHutokuja kuamini utakachokiona hiyo october omba mungu akupe uhai
Kwani hujui chadema Wana misukule yao? Ni hao wanayoielewa chadema!!!Habari wadau,
Kiukweli kwa CHADEMA ya sasa sijui inaelekea wapi!
Nimejaribu kumsikiliza Katibu Mkuu wa wa CHADEMA katika press yake ya leo, lakini naona kama amepaniki vile. No hoja.
Kipindi cha miaka ya nyuma katibu mkuu akiongea ni kama nchi inasimama. Saivi no Sera ni kama taarabu vile.
Sorry kama nitakosea ila sioni CHADEMA ikichukua mamlaka iliyonayo mwezi October.
Japo upinzani ni muhimu kwa maendeleo ya nchi, ila kwa mwendo huu sijui.
Kwenu wadau, Je? Kwa mwendo huu CHADEMA itatoboa mwaka huu?
Amshapopo
Hata kama ni dola, ila siamini huu mwendo wa CHADEMA.Ingekuwa hivyo ccm ingetegemea dola usiku na mchana.View attachment 1467810
Mwongo ww,bure kabisaHabari wadau,
Kiukweli kwa CHADEMA ya sasa sijui inaelekea wapi!
Nimejaribu kumsikiliza Katibu Mkuu wa wa CHADEMA katika press yake ya leo, lakini naona kama amepaniki vile. No hoja.
Kipindi cha miaka ya nyuma katibu mkuu akiongea ni kama nchi inasimama. Saivi no Sera ni kama taarabu vile.
Sorry kama nitakosea ila sioni CHADEMA ikichukua mamlaka iliyonayo mwezi October.
Japo upinzani ni muhimu kwa maendeleo ya nchi, ila kwa mwendo huu sijui.
Kwenu wadau, Je? Kwa mwendo huu CHADEMA itatoboa mwaka huu?
Amshapopo
Ni swali tu mkuu.Unaifutaje CHADEMA mioyoni mwa UMATI huu? Tukubali kuishi nayo tu. Tupende, tusipendeView attachment 1467850
Kweli hatoamini atakachokiona maana chadema inaenda kuchukua kiti Cha urais wa JMT. Hongera Sana chadema kuishida CCM hapo October 2020.Hutokuja kuamini utakachokiona hiyo october omba mungu akupe uhai
Nimekupa jibuNi swali tu mkuu.
Sawa mkuu. Let's wait....Kweli hatoamini atakachokiona maana chadema inaenda kuchukua kiti Cha urais wa JMT. Hongera Sana chadema kuishida CCM hapo October 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app