amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 730
- 1,256
Habari wadau,
Kiukweli kwa CHADEMA ya sasa sijui inaelekea wapi!
Nimejaribu kumsikiliza Katibu Mkuu wa wa CHADEMA katika press yake ya leo, lakini naona kama amepaniki vile. No hoja.
Kipindi cha miaka ya nyuma katibu mkuu akiongea ni kama nchi inasimama. Saivi no Sera ni kama taarabu vile.
Sorry kama nitakosea ila sioni CHADEMA ikichukua mamlaka iliyonayo mwezi October.
Japo upinzani ni muhimu kwa maendeleo ya nchi, ila kwa mwendo huu sijui.
Kwenu wadau, Je? Kwa mwendo huu CHADEMA itatoboa mwaka huu?
Amshapopo
Kiukweli kwa CHADEMA ya sasa sijui inaelekea wapi!
Nimejaribu kumsikiliza Katibu Mkuu wa wa CHADEMA katika press yake ya leo, lakini naona kama amepaniki vile. No hoja.
Kipindi cha miaka ya nyuma katibu mkuu akiongea ni kama nchi inasimama. Saivi no Sera ni kama taarabu vile.
Sorry kama nitakosea ila sioni CHADEMA ikichukua mamlaka iliyonayo mwezi October.
Japo upinzani ni muhimu kwa maendeleo ya nchi, ila kwa mwendo huu sijui.
Kwenu wadau, Je? Kwa mwendo huu CHADEMA itatoboa mwaka huu?
Amshapopo