Swali Fikirishi: Kuna anayewaelewa CHADEMA kwa sasa? Mbona kama wamepotea kabisa? Au ni mimi tu?

amshapopo

JF-Expert Member
Sep 7, 2014
693
1,199
Habari wadau,

Kiukweli kwa CHADEMA ya sasa sijui inaelekea wapi!

Nimejaribu kumsikiliza Katibu Mkuu wa wa CHADEMA katika press yake ya leo, lakini naona kama amepaniki vile. No hoja.

Kipindi cha miaka ya nyuma katibu mkuu akiongea ni kama nchi inasimama. Saivi no Sera ni kama taarabu vile.

Sorry kama nitakosea ila sioni CHADEMA ikichukua mamlaka iliyonayo mwezi October.

Japo upinzani ni muhimu kwa maendeleo ya nchi, ila kwa mwendo huu sijui.

Kwenu wadau, Je? Kwa mwendo huu CHADEMA itatoboa mwaka huu?

Amshapopo
 
Habari wadau,

Kiukweli kwa CHADEMA ya sasa sijui inaelekea wapi!

Nimejaribu kumsikiliza Katibu Mkuu wa wa CHADEMA katika press yake ya leo, lakini naona kama amepaniki vile. No hoja.

Kipindi cha miaka ya nyuma katibu mkuu akiongea ni kama nchi inasimama. Saivi no Sera ni kama taarabu vile.

Sorry kama nitakosea ila sioni CHADEMA ikichukua mamlaka iliyonayo mwezi October.

Japo upinzani ni muhimu kwa maendeleo ya nchi, ila kwa mwendo huu sijui.

Kwenu wadau, Je? Kwa mwendo huu CHADEMA itatoboa mwaka huu?

Amshapopo
Kwani hujui chadema Wana misukule yao? Ni hao wanayoielewa chadema!!!
 
Ingekuwa hivyo ccm ingetegemea dola usiku na mchana.
IMG_20200601_173955.jpg
 
Habari wadau,

Kiukweli kwa CHADEMA ya sasa sijui inaelekea wapi!

Nimejaribu kumsikiliza Katibu Mkuu wa wa CHADEMA katika press yake ya leo, lakini naona kama amepaniki vile. No hoja.

Kipindi cha miaka ya nyuma katibu mkuu akiongea ni kama nchi inasimama. Saivi no Sera ni kama taarabu vile.

Sorry kama nitakosea ila sioni CHADEMA ikichukua mamlaka iliyonayo mwezi October.

Japo upinzani ni muhimu kwa maendeleo ya nchi, ila kwa mwendo huu sijui.

Kwenu wadau, Je? Kwa mwendo huu CHADEMA itatoboa mwaka huu?

Amshapopo
Mwongo ww,bure kabisa
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom