G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,335
- 5,184
Kwanza kabisa naungana na kupongeza maamuzi waliyochukuwa; madudu yalikuwa yamezidi zaidi, na vitu vya aibu vimefanyika bila haya.
Sasa nawaza tu nje ya boksi; je, hayo madudu yakiendelea hadi mwaka kesho kwenye uchaguzi mkuu hali itakuwaje, ikiwa wataamua pia kujiondoa? Wataweza kuishi bila ruzuku? Kwa maana kutoshiriki uchaguzi mkuu ni kwamba hapo hata ruzuku wataikosa. Hili wamejiandaaje nalo?
Sasa nawaza tu nje ya boksi; je, hayo madudu yakiendelea hadi mwaka kesho kwenye uchaguzi mkuu hali itakuwaje, ikiwa wataamua pia kujiondoa? Wataweza kuishi bila ruzuku? Kwa maana kutoshiriki uchaguzi mkuu ni kwamba hapo hata ruzuku wataikosa. Hili wamejiandaaje nalo?