sweetbert mzalendo
Member
- Oct 18, 2016
- 14
- 5
Nibwazi kua gharama tulizosoma kwanzia lakwanza hadi kidato cha sita ni kubwa lakn je wazaz walotusomesha bado wana nguvu za kutosha kumalizia ngwe ilobaki ??? Swala sio kutegemea mkopo ila ahad tulizoahidiwa kipindi cha kampeni ndo zinazotufanya tuone serikal kua msalti kwa ahadi walizozitoa kwamba watatoa mkopo kwa wanafunzi wote wa elimu ya juu..zipo wapi ahadi..nguvu tunazotumia kutimua watumishi hewa ndizo zitatumika kuhukum ahadi zenu hewa