tzfanatic
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 626
- 381
Katika Pita Pita Yangu , Maeneo tofauti na hasa humu tunamoishi , kunavituko vingi vinaendelea Kwa hawa wanaojiita Madada Wa kileo, Yaani Ni Full Chenga Wengi wao.
Wakati mwingine Mpaka huwa Najiuliza hivi kweli Ndo effect ya Elimu , Maana hazina Tofauti Na yale niliyo yaona kwenye Mashairi Ya lawino And Okol .
Ngoja Niende Kwenye Mada, swaga za Madada wa majini Zinaboa Kinouma, nouma Hasa Hawa wanaojiita Wasomi, Humu Kwenye Maofisi Na hata hawa Masista Du , Uchwara Ambao wengi Wao ni Wakutoka Mbwinde, na Kuja Mjini Kwa simu.
Una Mkuta Mdada Ama Mmama Mtu mzima Kapiga Min Skirt Size Ya gauni La mtoto wake wa Miaka Mitano. Yeye Kalivaa, Pila Hata Haya usoni anatembea Mtaani, ama Babarani, Ananbetua Mzigo, Juu chini afu Sura Ngumu Kama , Miogo Ya Kayumba.
Tabu Inaanza Anapodondosha Kitu chochote ama anavopanda dala dala Mara Amanue Mara Afunike , pozi zinamwishia Ukimuangalia sana Anaanza kujistukia.
Masista Du, Majimama , Na wale Dada Zetu wasomi Mnaofanya Kazi Kwenye Maofisi, embu Vaeni kieshima kwani mwapungukiwa nini??
Na nyie Madada Mnaovaa Zile IJabu Embu Vaeni zile Za kisheria Sio unafunika Kichwa Unaishia Kwenye mabega Mikono yote Nje!!!
Acheni Hizo mambo Mnazingua Aiseee.......Vijana Katika Kazi Wataendelea Kuwavua Tu Vyupi......then watasepa......
Wakati mwingine Mpaka huwa Najiuliza hivi kweli Ndo effect ya Elimu , Maana hazina Tofauti Na yale niliyo yaona kwenye Mashairi Ya lawino And Okol .
Ngoja Niende Kwenye Mada, swaga za Madada wa majini Zinaboa Kinouma, nouma Hasa Hawa wanaojiita Wasomi, Humu Kwenye Maofisi Na hata hawa Masista Du , Uchwara Ambao wengi Wao ni Wakutoka Mbwinde, na Kuja Mjini Kwa simu.
Una Mkuta Mdada Ama Mmama Mtu mzima Kapiga Min Skirt Size Ya gauni La mtoto wake wa Miaka Mitano. Yeye Kalivaa, Pila Hata Haya usoni anatembea Mtaani, ama Babarani, Ananbetua Mzigo, Juu chini afu Sura Ngumu Kama , Miogo Ya Kayumba.
Tabu Inaanza Anapodondosha Kitu chochote ama anavopanda dala dala Mara Amanue Mara Afunike , pozi zinamwishia Ukimuangalia sana Anaanza kujistukia.
Masista Du, Majimama , Na wale Dada Zetu wasomi Mnaofanya Kazi Kwenye Maofisi, embu Vaeni kieshima kwani mwapungukiwa nini??
Na nyie Madada Mnaovaa Zile IJabu Embu Vaeni zile Za kisheria Sio unafunika Kichwa Unaishia Kwenye mabega Mikono yote Nje!!!
Acheni Hizo mambo Mnazingua Aiseee.......Vijana Katika Kazi Wataendelea Kuwavua Tu Vyupi......then watasepa......