muongozaji
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,386
- 999
mimi nashangaaga! hata humo kwenye ma club mtu mpaka avae nusu utupu...
kuna haja gani ya kuvaa hivo?
kwani ukivaa highwaist yako na top kali hawatakuona?
kuvaa nusu uchi ni ulimbukeni, na kutokujiamini na kutojiheshimu!!!
wanawake tunaojiamini hatuvai nusu utupu.
Tunajiheshimu, Tunajikubali
hatuendi na wakati uchwara.
Very wise princess ariana....Nimeitamani self esteem yako! You nailed it mkuu. Wanawake wanaojiamini huwa wanavutia sana. It is sexy too. Hongera bidada kwa kujitambua, kujijali, kujithamini na kujiheshimu. Too bad hakuna provision ya kutoa likes zaidi ya moja. Aisee ningeipa post yako likes kibao