Haaahaa umenifurahishaUkisikia gari ipo Arusha, wauzaji hawaweki picha sijui ni za magendo hizi au vip!?
Dar es Salaam vitu wazi gari nje nje mpka plate no
jifunze kuweka picha aiseeWaungwana nashukuru kwa ushauri mzuri. Gari ipo katika hali nzuri sana na sio ya wizi kama unavyodhani. Nashindwa kuweka picha kwa sababu ya uelewa wangu mdogo wa maswala ya IT. Bei ni 8,200,000. Ahsante sana na karibuni.