Suzuki jimny

Suzuki jimny

chayowa

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
413
Reaction score
112
Hallow wadau. Hivi ni kwanini Suzuki jimny zinakuwa ghali tofauti model nyingine za dizaini zake?
 
Hallow wadau. Hivi ni kwanini Suzuki jimny zinakuwa ghali tofauti model nyingine za dizaini zake?
...sababu zipo nyingi;
-cc ndogo karibia na bajaji "cc 1.3 & cc 0.66, utumia mafuta kidogo sana kwa safari ndefu' (economy)

-Ina uimara wa kuweza kuvumilia misukosuko, nk.

NB: zenye cc 0.660 ndizo zenye bei ya juu kuliko zenye cc 1300
images

ina uwezo wa kupita kwenye barabara za kila aina!
images

Ni nyepesi sana, kuliko magari mengine!
images

spare parts zake....
 
Aiseee..... Yani viko juu sana kumbe raha yake ni burudani. Vizuri
 
Aiseee..... Yani viko juu sana kumbe raha yake ni burudani. Vizuri

...ni kweli, viko juu sana! Na ni vizuri sana, na vinaimiri vishindo kwa barabara za hapa nchini...
Jimny-Slider-4.jpg

...wakati wa mvua, ukiwa nacho ni burudani...
Jimny-Slider-1.jpg

4WD
Jimny-JX-d%C3%A9tour%C3%A9MOD.jpg

...mbali na kuwa na bei ya juu, vinadumu kwa muda mrefu!
Jimny-JLX-d%C3%A9tour%C3%A9MOD.jpg
 
Jamaa umeipa sifa mpaka imenivutia!ni shilling ngapi?minimum au maximum
 
Jamaa umeipa sifa mpaka imenivutia!ni shilling ngapi? minimum au maximum
...mkuu' bei zake iko juu sana' hasa zile zenye cc0.660, kuliko zenye cc1300 "ni kati ya $20,000 na $15,000" Top quality / Brand new 'fob'"

suzuki-jimny-suv-2005-front-quarter-main.jpg

...bei yake ni karibia na HILUX D/CAB!
images

...uzuri wake' ni kwamba unaweza kudumu nayo zaidi kwa miaka mingi..., kati ya 10 na zaidi kama wewe ni mtuzaji mzuri...
images

...havitumii mafuta mengi..., vyepesi sana...
images

...havitofautiani sana na JEEP...
images

...model za mwanzo zilikuwa zinajulikana kwa jina "SUZUKI SAMURAI" (pick up)
images

...kuna kipindi vilikuwa vinatumiwa sana jeshini (toleo la kwanza nala pili...)


NB: UKIWA NA KAMA tsh 20millioni unaweza kukipata kilicho bora zaidi...
 
Hivi vidude ndio vyenye we hapa kwetu.... Ishu viko juu sana sana. Mkuu kuna tofauti gani kati yavyo na pajero min? Kwani vinaachana karibu 10 times kwenye bei
 
Hivo vidude ni nyokooo hela nyingi sana umepata bei rahisi ni 15millions Tsh
 
Hivi vidude ndio vyenye we hapa kwetu.... Ishu viko juu sana sana. Mkuu kuna tofauti gani kati yavyo na pajero min? Kwani vinaachana karibu 10 times kwenye bei
Suzuki ina 4wd pajero min hazina, pajero mini ina mechanical problem by default Suzuki jimy hazina shida, Suzuki kuna za cc 640 na 1600, pajero mini nicc 660 tu, suzuki ni nzito kuliko mini.
Suzuki jimny ni gari za kitajiri watu hawajui ukitaka uone angalia bei kwenye mtandao huwezi amini kama ni gari dogo
 
Suzuki ina 4wd pajero min hazina, pajero mini ina mechanical problem by default Suzuki jimy hazina shida, Suzuki kuna za cc 640 na 1600, pajero mini nicc 660 tu, suzuki ni nzito kuliko mini.
Suzuki jimny ni gari za kitajiri watu hawajui ukitaka uone angalia bei kwenye mtandao huwezi amini kama ni gari dogo

Hivi tukiifananisha na daihatsu terrios kid? Interms of bei na kudumu, spare na fuel consuption mkuu
 
Bora hata Toyota cami au terios kid.
Jimny ni maji marefu.
Natamani kungekuwa na Toyota cami zenye cc chini ya 1000
 
Back
Top Bottom