Magari karibu yote ya wachagga yameungwa, hakuna shida.Habari za leo waungwana? Ninaomba kupata ufahamu kuhusu gari lililotajwa hapo juu. Engine yake original imeondolewa ikawekwa ya Noah yaani 3S autimatic 2W. Inatembea vizuri na ninatamani kwenda nayo masafa marefu. Je niniandae na changamoto zipi?