B Bizzly Member May 3, 2010 79 21 Oct 6, 2011 #1 Tafadhali kwa ambaye anafahamu, hivi Suzuki Escudo old model za miaka ya 199...katika showrooms za hapa bongo naweza kupata kwa bei gani? naombeni msaada wa mawazo pia kuhusu chaguo langu hilo.
Tafadhali kwa ambaye anafahamu, hivi Suzuki Escudo old model za miaka ya 199...katika showrooms za hapa bongo naweza kupata kwa bei gani? naombeni msaada wa mawazo pia kuhusu chaguo langu hilo.
jino kwa jino JF-Expert Member Nov 3, 2010 783 170 Oct 6, 2011 #2 zishapitwa na wakati sana, ila ni nzury kwa ulaji wa mafuta
TEMPOLALE JF-Expert Member Aug 18, 2011 302 107 Oct 6, 2011 #3 jino kwa jino said: zishapitwa na wakati sana, ila ni nzury kwa ulaji wa mafuta Click to expand... Hujajibu swali Jino kwa jino, Hajauliza kama zinaenda na wakati au zinakulaje mafuta. Any way Bizzly kwasasa kuzipata kwenye show room itakuwa ngumu kidogo kama unataka ya kununua na upo tayari kununua inayotumika na mtu ni-Pm tuongee
jino kwa jino said: zishapitwa na wakati sana, ila ni nzury kwa ulaji wa mafuta Click to expand... Hujajibu swali Jino kwa jino, Hajauliza kama zinaenda na wakati au zinakulaje mafuta. Any way Bizzly kwasasa kuzipata kwenye show room itakuwa ngumu kidogo kama unataka ya kununua na upo tayari kununua inayotumika na mtu ni-Pm tuongee
F Faymario Member Aug 11, 2011 23 1 Oct 6, 2011 #4 Kama unaweza kununua iliyotumika ipo kwenye hali nzuri manual milioni 11 kama utahitaji piga namba 0757358296
Kama unaweza kununua iliyotumika ipo kwenye hali nzuri manual milioni 11 kama utahitaji piga namba 0757358296
Ibrah JF-Expert Member Mar 22, 2007 2,729 528 Oct 6, 2011 #5 Mimi ninayo ya 93, Manual gear, engine 1.6. km 146.000, haijawahi kuguswa engine. Nimeingiza kutoka Japan Nov. 2008. Kama unahitaji ni pm
Mimi ninayo ya 93, Manual gear, engine 1.6. km 146.000, haijawahi kuguswa engine. Nimeingiza kutoka Japan Nov. 2008. Kama unahitaji ni pm
Mallaba JF-Expert Member Jan 30, 2008 2,554 47 Oct 23, 2011 #6 Ibrah naomba uni pm kwa hiyo bei ya gari yako please.