Suzuki Carry Inauzwa bei ya Kutupwa

Suzuki Carry Inauzwa bei ya Kutupwa

amatuks

Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
69
Reaction score
10
Nauza Suzuki Carry yangu ipo katika hali nzuri kabisa nimeshindwana na madereva.
Details:
Make: Suzuki
Model: Carry.
Engine Capacity: cc650.
Km :135001.
Bei : Tshs 6 Milioni haipungui.
Karibuni kwa wahitaji mni PM.
0687702626.
 

Attachments

  • 1422189533613.jpg
    1422189533613.jpg
    81 KB · Views: 711
  • 1422189553243.jpg
    1422189553243.jpg
    55 KB · Views: 615
  • 1422189569051.jpg
    1422189569051.jpg
    78.3 KB · Views: 673
  • 1422189594160.jpg
    1422189594160.jpg
    84.6 KB · Views: 720
  • 1422189620590.jpg
    1422189620590.jpg
    76.2 KB · Views: 653
  • 1422189637170.jpg
    1422189637170.jpg
    69.9 KB · Views: 728
  • 1422189665310.jpg
    1422189665310.jpg
    60 KB · Views: 726
Ukiagiza toka japan kwa sasa haifiki bei iyo. Mkuu punguza bei upate Wateja, kwa mil6 sio bei ya kutupwa unless umesahau bei za izi gari
 
Ukiagiza toka japan kwa sasa haifiki bei iyo. Mkuu punguza bei upate Wateja, kwa mil6 sio bei ya kutupwa unless umesahau bei za izi gari

Acha uongo na usiongee vitu usivyovijua, kodi yake pekee ni milion 3.4 hapo hujainunua na kuileta hapa bongo
 
Ukiagiza toka japan kwa sasa haifiki bei iyo. Mkuu punguza bei upate Wateja, kwa mil6 sio bei ya kutupwa unless umesahau bei za izi gari

ukiagiza toka Japan hadi inaingia barabarani kwa sasa ni mil 8 laki 7 na 39 elfu..
 
Siuitupe??? Atuuzi chiniyamiaka 18!!wagawienibure. munguakupemtejampwa niviji ambovyaweekend
 
Siuitupe??? Atuuzi chiniyamiaka 18!!wagawienibure. munguakupemtejampwa niviji ambovyaweekend
nimeangalia muda ulioandika hii comments, na hayo maandishi ulivyoyaweka, nimejuiliza sana aisee, kuwa ni wewe ma ulikuwa kwenye hali gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom