Suzuki Carry Inauzwa 6.7m

Suzuki Carry Inauzwa 6.7m

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
450
Imesajiliwa No yake CGJ .. haijafanya kazi nchini kabisa.. na mwenye kuhitaji nitajibu kwa PM TU
 
Ama!! hivi vigari mimi nilikuwa najuwa vinazuzwa milioni tatu au 4 kumbe bei yake ni hiyo? GX 100 Oyeee!!
 
Ama!! hivi vigari mimi nilikuwa najuwa vinazuzwa milioni tatu au 4 kumbe bei yake ni hiyo? GX 100 Oyeee!!

Usisahau pia kuulizia Bei ya Bajaj ya miguu mitatu..............
 
Usisahau pia kuulizia Bei ya Bajaj ya miguu mitatu..............
Bajaj zilikuwa maalum kwa ajili ya viwete lakini ndio hivyo tena, na hata bajaj ikiwekwa matairi manne haina tofauti na hiyo Suzuki carry. anyway ngoja niwapishe wateja wenye huitaji.
Vimepanda bei tz.... japan bado bei ni ile ile
Niliwahi kuwashauri Multi choice Tanzania wakanipuuza, kwamba mwaka 1998 nikiwa South Africa nilikuwa nalipia Rand 100 kama subscription ya Mnet kwa mwezi by that time Mnet na DSTV zilikuwa ni kampuni mbili tofauti.

Point yangu ilikuwa kwamba Watanzania ni wachovu lakini wanahitaji mambo mazuri, ushauri wangu ulilenga washushe bei ili wapate wateja Tanzania nzina ikiwekana kila mwenye TV anunuwe decoder ya DSTV, Sasa imagine kama wangekuwa wasikivu mapema wangekuja kupigwa bao na hawa Star Times ambao ndio wameteka soko la wateja wote makabwela? This same thing na kwenye biashara ya magari tamaa zimezidi wanataka faida kupita kiasi, but/lakini tuendako huko wachina watafunguwa Plant za magari hapa hapa, msije mkahama nchi.
 
Bajaj zilikuwa maalum kwa ajili ya viwete lakini ndio hivyo tena, na hata bajaj ikiwekwa matairi manne haina tofauti na hiyo Suzuki carry. anyway ngoja niwapishe wateja wenye huitaji.

Niliwahi kuwashauri Multi choice Tanzania wakanipuuza, kwamba mwaka 1998 nikiwa South Africa nilikuwa nalipia Rand 100 kama subscription ya Mnet kwa mwezi by that time Mnet na DSTV zilikuwa ni kampuni mbili tofauti.

Point yangu ilikuwa kwamba Watanzania ni wachovu lakini wanahitaji mambo mazuri, ushauri wangu ulilenga washushe bei ili wapate wateja Tanzania nzina ikiwekana kila mwenye TV anunuwe decoder ya DSTV, Sasa imagine kama wangekuwa wasikivu mapema wangekuja kupigwa bao na hawa Star Times ambao ndio wameteka soko la wateja wote makabwela? This same thing na kwenye biashara ya magari tamaa zimezidi wanataka faida kupita kiasi, but/lakini tuendako huko wachina watafunguwa Plant za magari hapa hapa, msije mkahama nchi.

Kwani gx100 bei gan mkuu? carry ni gari nzuri mkuu kwa shughuli zinazoihusu! dar gharama, ukiagiza mwenyewe ni arround 5M!
 
Imesajiliwa No yake CGJ .. haijafanya kazi nchini kabisa.. na mwenye kuhitaji nitajibu kwa PM TU

nirushie japo picha nataka gari nipo mwenge dar..iko wapi hiyo machine
 
mbona unataka kuiuzia gizan, au sio halali?

weka azaran km sio ya dili
 
Bajaj zilikuwa maalum kwa ajili ya viwete lakini ndio hivyo tena, na hata bajaj ikiwekwa matairi manne haina tofauti na hiyo Suzuki carry. anyway ngoja niwapishe wateja wenye huitaji.

Niliwahi kuwashauri Multi choice Tanzania wakanipuuza, kwamba mwaka 1998 nikiwa South Africa nilikuwa nalipia Rand 100 kama subscription ya Mnet kwa mwezi by that time Mnet na DSTV zilikuwa ni kampuni mbili tofauti.

Point yangu ilikuwa kwamba Watanzania ni wachovu lakini wanahitaji mambo mazuri, ushauri wangu ulilenga washushe bei ili wapate wateja Tanzania nzina ikiwekana kila mwenye TV anunuwe decoder ya DSTV, Sasa imagine kama wangekuwa wasikivu mapema wangekuja kupigwa bao na hawa Star Times ambao ndio wameteka soko la wateja wote makabwela? This same thing na kwenye biashara ya magari tamaa zimezidi wanataka faida kupita kiasi, but/lakini tuendako huko wachina watafunguwa Plant za magari hapa hapa, msije mkahama nchi.

DSTV hata kenya ni cheap
mimi nauliza swali moja tu
haiwezekani ukanunua decoder Kenya au South ukailipia mwaka mzima
ukaja kuitumia TZ?
 
DSTV hata kenya ni cheap
mimi nauliza swali moja tu
haiwezekani ukanunua decoder Kenya au South ukailipia mwaka mzima
ukaja kuitumia TZ?
Kwakweli sina ufahamu wa swala hili kama kuna roaming ya decoder, hili swali labda uwaulize vijana kule kwenye jukwaa lao la Teknolojia.
 
Kwani gx100 bei gan mkuu? carry ni gari nzuri mkuu kwa shughuli zinazoihusu! dar gharama, ukiagiza mwenyewe ni arround 5M!

mkuu saivi zimepanda sana ukiagiza unaweza kukuta dola 1500-3000 bado kutoa bandarini sio chini ya mil 2.5 na ikiwa inamiaka zaidi ya 9 kunakuwa kuna charges zake

source:mimi mwenyewe
 
ninacho nauza 8.5 sipunguzi hata mia hicho chsko kitakuwa kibovu . naapa au hakina 4wd
 
ninacho nauza 8.5 sipunguzi hata mia hicho chsko kitakuwa kibovu . naapa au hakina 4wd

Hahahaa, kazi kweli! Biashara ni mbinu kaka, mwingine anaweka faida kidogo tu ili auze nyingi, mwingine anataka faida nyingi hata akiuza chache!
 
Bajaj zilikuwa maalum kwa ajili ya viwete lakini ndio hivyo tena, na hata bajaj ikiwekwa matairi manne haina tofauti na hiyo Suzuki carry. anyway ngoja niwapishe wateja wenye huitaji.

Niliwahi kuwashauri Multi choice Tanzania wakanipuuza, kwamba mwaka 1998 nikiwa South Africa nilikuwa nalipia Rand 100 kama subscription ya Mnet kwa mwezi by that time Mnet na DSTV zilikuwa ni kampuni mbili tofauti.

Point yangu ilikuwa kwamba Watanzania ni wachovu lakini wanahitaji mambo mazuri, ushauri wangu ulilenga washushe bei ili wapate wateja Tanzania nzina ikiwekana kila mwenye TV anunuwe decoder ya DSTV, Sasa imagine kama wangekuwa wasikivu mapema wangekuja kupigwa bao na hawa Star Times ambao ndio wameteka soko la wateja wote makabwela? This same thing na kwenye biashara ya magari tamaa zimezidi wanataka faida kupita kiasi, but/lakini tuendako huko wachina watafunguwa Plant za magari hapa hapa, msije mkahama nchi.

Hapa tusiwalaumu sana wauza magari,ukifuatilia kwa ukaribu faida zao ni kati ya laki 3 mpaka tano, Issue iko kwnye huo ushuru!! Serikali yetu inatunyonga sana bana!!
 
Back
Top Bottom