kukukakara
JF-Expert Member
- Jul 31, 2012
- 496
- 164
Baada ya hotuba ya Dr. Slaa Wewe upo kundi gani:
1. Umebaki na msimamo wako wa mabadiliko?
2. Umeghairi na kuhamia kule kwingine
3. Ulikuwa kule kwingine umeamua kubadili fikra na kuwaunga mkono UKAWA
4. Umeachana na ushabiki wa siasa na hata kura hutapiga.
Jibu kwa kifupi kama hhivi:
Namba 1: MSIMAMO ULEULE
Namba 2: NIMEHAMA
Namba 3: NIMEJIUNGA
Namba 4: NIMEGHAIRI
Karibuni. Napendekeza survey iwe ya siku 10
1. Umebaki na msimamo wako wa mabadiliko?
2. Umeghairi na kuhamia kule kwingine
3. Ulikuwa kule kwingine umeamua kubadili fikra na kuwaunga mkono UKAWA
4. Umeachana na ushabiki wa siasa na hata kura hutapiga.
Jibu kwa kifupi kama hhivi:
Namba 1: MSIMAMO ULEULE
Namba 2: NIMEHAMA
Namba 3: NIMEJIUNGA
Namba 4: NIMEGHAIRI
Karibuni. Napendekeza survey iwe ya siku 10