Sura halisi ya marehemu Kinyambe

Jamani kumbe alikuwa mzuri tu mungu ailaze roho yake mahala pema. Peponi
 
Sijawahi ona hii sura before zaidi ya kusikia mchekeshaji maarufu kandei... nilishikwa na butwaa kusikia maarufu na mimi simfahamu... ila wapenda ujinga ujinga wote wanamfahamu...
 
wekeni clip yake niona kama anachekesha...
 
Sijawahi ona hii sura before zaidi ya kusikia mchekeshaji maarufu kandei... nilishikwa na butwaa kusikia maarufu na mimi simfahamu... ila wapenda ujinga ujinga wote wanamfahamu...
Acha kuita watu wajinga kwani wewe ni nani haswa?Watu wengine kwa kujikweza utafikiri wana chochote kumbe masikini kapuku...
 
Sijawahi ona hii sura before zaidi ya kusikia mchekeshaji maarufu kandei... nilishikwa na butwaa kusikia maarufu na mimi simfahamu... ila wapenda ujinga ujinga wote wanamfahamu...
 
Sijawahi ona hii sura before zaidi ya kusikia mchekeshaji maarufu kandei... nilishikwa na butwaa kusikia maarufu na mimi simfahamu... ila wapenda ujinga ujinga wote wanamfahamu...

wewe ni mboga nane?
 
Wekeni hiyo sura yake ya uigizaji wengine hatumjui
 
Mtu akifa ndo mnasifia, sisi watz sijui tukoje sisi aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…