Suppose CUF wakisusia uchaguzi Zanzibar

Suppose CUF wakisusia uchaguzi Zanzibar

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
2,214
Reaction score
3,353
Ni nini manufaa ya CUF kususia uchaguzi wa marudio je wana mbinu gani mbadala iwapo serikali na CCM wakaamua kuendelea na uchaguzi bila CUF?
 
Cuf inakuwa imekula kwao!!!!! hapo ccm wayafurahi sana
 
Kama CCM wakaifanya uchaguzi kwa nguvu Zanzibar ndio utakuwa mwanzo wa kuitangazia uhuru . Athari zitaikumba zaidi Tanzania. Kumbuka kitu kimmoja tu, kupitia Mpango wa Millenium Tanzania iliahidiwa na Wamarekani watapewa zile Milioni 478$ Dolla za kimarekani lakini Uchaguzi ukiwa wa Haki na Uhuru. Zanzibar haijuilikani kimataifa inayojuilikana ni Tanzania.
Jiulize kama CCM Zanzibar watafanya uchaguzi wa marudio kwa Ubabe kitakachotokea ni nini?
 
Kama CCM wakaifanya uchaguzi kwa nguvu Zanzibar ndio utakuwa mwanzo wa kuitangazia uhuru . Athari zitaikumba zaidi Tanzania. Kumbuka kitu kimmoja tu, kupitia Mpango wa Millenium Tanzania iliahidiwa na Wamarekani watapewa zile Milioni 478$ Dolla za kimarekani lakini Uchaguzi ukiwa wa Haki na Uhuru. Zanzibar haijuilikani kimataifa inayojuilikana ni Tanzania.
Jiulize kama CCM Zanzibar watafanya uchaguzi wa marudio kwa Ubabe kitakachotokea ni nini?


Uchaguzi siyo wa CCM wala CUF uchaguzi ni wa ZEC ni busara tu inatakiwa
 
Yatakuwa kama ya nkurunziza na upinzani hatima yake mizinga 21 hewani km kawa.
 
Ni nini manufaa ya CUF kususia uchaguzi wa marudio je wana mbinu gani mbadala iwapo serikali na CCM wakaamua kuendelea na uchaguzi bila CUF?
Wakisusia au washasusia.

Uchaguzi wa Tanzania ni kama vile uende pigana na jirani yako alafu mkewe ndo awe mwamuzi wa mchezo, we unategemea nini hapo.
 
Uchaguzi siyo wa CCM wala CUF uchaguzi ni wa ZEC ni busara tu inatakiwa

Wewe unamdanganya nani?
Hata wale jeshi waliokwenda Kumchukua makamomwenyekiti mbele ya Observers wote pia ni wa ZEC?
 
Vyama vingine vitashiriki na CCM itashinda majimbo yote na CUF watakuwa hawana chao kwa miaka 5.
 
Back
Top Bottom