Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri!!!
Karibuni sana ndugu zangu, ninatengeneza na kuuza dagaa wazuri, watamu, safi na salama kutoka ziwa victoria wajulikanao kama Nyama Nono
Nyama Nono ni dagaa wanaoandaliwa na kukaangwa wakiwa wabichi kabisa kutoka ziwani
Dagaa hawa wanawekwa viungo vyote muhimu, mfano tangawizi, Limao, vitunguu Swaumu, na pilipili (kwa maelekezo ya mteja), pia kama kuna viungo zaidi mteja anahitaji viongezwe vinaongezwa, hii ni katika kumsikiliza mteja na kumpa kitu anachokitaka
Bei ya dagaa hizi ni rafiki kabisa,
Sado moja ni Tsh 15000/-
Ndoo moja ni Tsh 75000/-
Tunapatikana Mwanza mjini, pia mkoa wowote tunasafirisha mzigo kwa uhakika na uaminifu mkubwa
Mawasiliano 0623441247
Karibu sana tukuhudumie
Asanteh!!
Karibuni sana ndugu zangu, ninatengeneza na kuuza dagaa wazuri, watamu, safi na salama kutoka ziwa victoria wajulikanao kama Nyama Nono
Nyama Nono ni dagaa wanaoandaliwa na kukaangwa wakiwa wabichi kabisa kutoka ziwani
Dagaa hawa wanawekwa viungo vyote muhimu, mfano tangawizi, Limao, vitunguu Swaumu, na pilipili (kwa maelekezo ya mteja), pia kama kuna viungo zaidi mteja anahitaji viongezwe vinaongezwa, hii ni katika kumsikiliza mteja na kumpa kitu anachokitaka
Bei ya dagaa hizi ni rafiki kabisa,
Sado moja ni Tsh 15000/-
Ndoo moja ni Tsh 75000/-
Tunapatikana Mwanza mjini, pia mkoa wowote tunasafirisha mzigo kwa uhakika na uaminifu mkubwa
Mawasiliano 0623441247
Karibu sana tukuhudumie
Asanteh!!