Hiv hufahamu kama kunguru nae ana haki ya kuishi?Na tena MUNGU ametuagiza kutisha ndege,wanyama na vyote vyenye uhai?Mbaya zaid kama maliasil watakufahamu.
Dah kuwaua inabidi uwamalize wote ndio tatizo litaisha..........nenda ofisi za WCST wanatoa mitego ya kunguru ambayo ina sumu maalum ndani yake......muone ndugu Nyiti (WCST wako mkabala na Ubalizi wa Msumbiji baada tu ya PP Tower upande wa kulia kama unaenda Baharini)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.