Itategemea na sumu yenyewe,kwa kawaida chemicals uwa na tabia ya kudicompose,in short to change to another substance.Sasa kama sumu wakati wa kudicompose ikachange to a more harmful substance hapo sasa ndo itakuwa balaa zaidi.Lakini ikiform a neutral compound hapo so ndo haiuwi tena.
Anyway ni mtazamo tu