Sumsung galax s6 imekata network

Sumsung galax s6 imekata network

Kwanza iyo simu umenunua dukani au mkononi tu kwa mtu.

1. Inaweza kuwa imefungiwa na TCRA


2. Inaweza kufungwa na mmiliki original wa Iyo cm kama ni ya wizi.

3. EfS file imecorupt. Hii inayokea baada ya kuflash.

4. ImEI imecorupt. Au sio YENYEWE.

Kwanza angalia IMEI iliyonyuma ya Simu kama inafanana na inayooneshwa na System.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
Hapo unatulazimisha kupenda kitu tusichokipenda na kutuambia tuache simu za kishoga unakosea sana ndugu. Ustaarabu ni busara

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nayo. Masikini siku zote hutoa kauli za namna iyo. Usifikiri kuwa hata yeye anafrahia kutumia Techno sema tu hali yeke duni ndvyo ilivyo. Anatamani mwe wengi.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
mara nyingi samsang huwa zina tatizo la software so kuna sememu ukiingia kwa kutumia z3 boz una reset inakubal.inakuwa haichagui line na inasoma fuul network kokote
 

Attachments

  • z3.PNG
    z3.PNG
    11.4 KB · Views: 34
connect with z3box then nenda kwenye repair then reset EFS ikimaliza hapo lazima ishike network vizuri kokote labda liwe ttzo la hardware
z3.PNG
 
Achana nayo. Masikini siku zote hutoa kauli za namna iyo. Usifikiri kuwa hata yeye anafrahia kutumia Techno sema tu hali yeke duni ndvyo ilivyo. Anatamani mwe wengi.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Umasikini si dhambi ndo mana wanaume wana geuzwa mashoga kisa anunuliwe Samsung
Ndiyo ni masikini lakini siyo
Mwizi
Shoga
Fisadi
Tapeli
wala mnafiki
 
connect with z3box then nenda kwenye repair then reset EFS ikimaliza hapo lazima ishike network vizuri kokote labda liwe ttzo la hardwareView attachment 583967
Naomba msaada wako,ninasamsung GT-I9000 playstore (android market) haifunguki ina load muda mref then inaandika server error,simu nimenunua kwa mtu
 
Nilijua ni mm tu hata me natumia s6 kuna mda net inakata kabisa nipo mjini sipo vijijini nahisi itakuwa tatizo lake kubwa hizo simu
 
Samsung tunanunulia wanawake tena hata wanawake wanao zipenda wengi wao ni MASHANGINGI sasa wewe dume na VIMKEBE VYA SAMSUNG WAPI NA WAPI????
Iphone ndio simu za wanawake lakini Samsung ni simu janja kote kote zinatumika
 
Back
Top Bottom