Sumsung galax s6 imekata network

Sumsung galax s6 imekata network

tiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2015
Posts
441
Reaction score
259
Msaada naomba mwenye kujua natumia sumsung galax s6 inasumbua kushika network zaman ilikuwa inashika vizuri lkn saivi inashika baadhi ya sehemu nikiwa nyumban haishiki nikienda mjin inashika kazini aishik nikihama eneo inashika nikabadili nikaweka line kwenye tecno j8 inashika full sehem zote sumsung inapokataa nifanyeje nimedata maana simu mpya nimejichanga kwa shida nikanunua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada naomba mwenye kujua natumia sumsung galax s6 inasumbua kushika network zaman ilikuwa inashika vizuri lkn saivi inashika baadhi ya sehemu nikiwa nyumban haishiki nikienda mjin inashika kazini aishik nikihama eneo inashika nikabadili nikaweka line kwenye tecno j8 inashika full sehem zote sumsung inapokataa nifanyeje nimedata maana simu mpya nimejichanga kwa shida nikanunua

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui samsung ina shida tu upande wa network.. mi niliponunua hii Note 3 yangu ilikuwa inasumbua mno network muda mwingine hata mtu akinitumia sms au kupiga hanipati inaandika no network ... sijui shida ni nini hasa lakini zinazingua sana hata internet ukiwasha data inaweza inawexa ikagoma kabisa kufugua chochote.... pia hii simu yangu inashuka mtandao hadi 2G sijui shida ni nini hasa. Hata mimi pia nahitaji solution.
 
Ok ndo waje jaman niliombabushauri hapa wa kununua simu nilishaurisha kati ya lg, sonyvexperia z na sumsung halax s6 nikaambia sumsung yani inamatatizo kweli nimerudia ki tecno changu cha zaman wasa wataalam wakuje mimi nimeweka line ya voda haishiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada naomba mwenye kujua natumia sumsung galax s6 inasumbua kushika network zaman ilikuwa inashika vizuri lkn saivi inashika baadhi ya sehemu nikiwa nyumban haishiki nikienda mjin inashika kazini aishik nikihama eneo inashika nikabadili nikaweka line kwenye tecno j8 inashika full sehem zote sumsung inapokataa nifanyeje nimedata maana simu mpya nimejichanga kwa shida nikanunua

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia kwenye setting Network huenda umeweka 3G only....halafu hakikisha hiyo ni S6 kweli maana mchina kwa clone ya Samsung hachezi mbli.
 
Msaada naomba mwenye kujua natumia sumsung galax s6 inasumbua kushika network zaman ilikuwa inashika vizuri lkn saivi inashika baadhi ya sehemu nikiwa nyumban haishiki nikienda mjin inashika kazini aishik nikihama eneo inashika nikabadili nikaweka line kwenye tecno j8 inashika full sehem zote sumsung inapokataa nifanyeje nimedata maana simu mpya nimejichanga kwa shida nikanunua

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkùu nenda setting mobile networks chagua iwe auto au 2g inawezekana ipo 3g tu na kijiji kwenu hakuna uwezo huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada naomba mwenye kujua natumia sumsung galax s6 inasumbua kushika network zaman ilikuwa inashika vizuri lkn saivi inashika baadhi y
a sehemu nikiwa nyumban haishiki nikienda mjin inashika kazini aishik nikihama eneo inashika nikabadili nikaweka line kwenye tecno j8 inashika full sehem zote sumsung inapokataa nifanyeje nimedata maana simu mpya nimejichanga kwa shida nikanunua

Sent using Jamii Forums mobile app
hardware problem...mcheki fundi
 
Hata me natumia s6 hiyo shida naipata sana na niko dar. Hawa jamaa kama walitengeneza hizi simu zina shida za kufanana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achaneni na misimu ya kishoga tumieni TECNO yatosha mm nashangaa sana MTU kutoa mihela chunguzima kununua Samsung [emoji15] [emoji15]
 
Achaneni na misimu ya kishoga tumieni TECNO yatosha mm nashangaa sana MTU kutoa mihela chunguzima kununua Samsung [emoji15] [emoji15]
Hapo unatulazimisha kupenda kitu tusichokipenda na kutuambia tuache simu za kishoga unakosea sana ndugu. Ustaarabu ni busara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo unatulazimisha kupenda kitu tusichokipenda na kutuambia tuache simu za kishoga unakosea sana ndugu. Ustaarabu ni busara

Sent using Jamii Forums mobile app
Samsung tunanunulia wanawake tena hata wanawake wanao zipenda wengi wao ni MASHANGINGI sasa wewe dume na VIMKEBE VYA SAMSUNG WAPI NA WAPI????
 
Eti yupii.kwan ww ulinunua wapi???
Af unaendaje kigoma na S6.?? Huko ni kutaka kuwatamanisha wakulima wa kigoma

Kumkoma nyani geladi
[emoji4][emoji4][emoji4]

scratch my back & i'll scratch yours
 
Back
Top Bottom