Thomas Odera
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 673
- 155
Poleni wafiwa, Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi, amen
Madereva wazingatie sheria za usalama barabarani ili kuepusha maafa haya....poleni wafiwa....hizo sababu za majuju hazina msingi kwa wakati huu
Walikuwa wanatafuta nini saa 8:16 za usiku?
Ukiwaambia wamekufa kijinga utakuwa huwatendei haki?Mambo mengine ni kumsingizia Mungu tu eti kuwa ni mpango wake,hapo huo ni mpango wa dereva na abiria wake,waache kucheza tena na maisha ya watu.
Umefikiria vyema ndugu! hakuna cha juju wala nini ...summry inamuhusu sana huyu jamaa (wapigeni tu, maana tumechoka sasa!)
Nafikiri hujawahi fika mkoa huo na hata miundo mbinu ya huko hauifahamu. Jinsi miundo mbinu ilivyo mibovu possible walitoka Sumbawanga asubuhi wakijua watawahi fika. Je kama walifika mbugani usiku wangelala wapi? kosa hapo ni la dreva kupita njia isiyoruhusiwa.
Sumbawanga na Mpanda hivi sasa sio mbali sana kiasi cha gari kufika muda huo endapo lilitoka asubuhi Sumbawanga. Siku hizi kuna basi linalotoka Mbeya kwenda Mpanda mojamoja na huwa linapita Sumbawanga mchana. Huenda hili lilipita Sumbawanga jioni sana.
hili litakuwa limetokea Mbeya,thats why likapita hiyo mida!!!!