MDANGANYIKAJI
Member
- Jan 27, 2011
- 77
- 59
NIONAVYO MIMI KAMA MTANZANIA HOTUBA YA KIKWETE NAWEZA KUISSUMARIZE KAMA IFUATAVYO;
1) KUJIHAMI KWA YALE YALIYOTOKEA KWA MAPRESIDENT WENZAKE WA TUNISIA,EGYPT NA LIBYA YASIZUKE BONGO
2)KUJENGA BACKGROUND NZURI YA KUWAKAMATA VIONGOZI WA CHADEMA ILI YAKITOKEA WASEME SI TULIWAAMBIA JAMANI.........
3)AMEOGOPA NGUVU YA UMMA CAUSE ALMOST HOTUBA NZIMA INAONYESHA WOGA WAKE KWA NGUVU YA UMMA
NB;My president mimi honestly ni mtu mmoja wapo ambaye bado naamini unaweza kuongoza Tanzania lakini tatizo kubwa lipo kwa washauri wako nikiangalia hii hotuba nachelea kuamini kuwa this is not you ni sauti za wanafiki na wanaogopa kuumbuliwa wanaoona siku zao zinahesabika so wanakutumia wewe kama chambo ya kufikisha ujumbe please tibu yaliyo ndani yako my president before kuangalia mchawi inawezekana ukawa wewe ndo utachochea amani kuvunjika kwa hotuba hii
REJEA HOTUBA YA HILLARY CLINTON ALIYOTOA LEO MY PRESIDENT
1) KUJIHAMI KWA YALE YALIYOTOKEA KWA MAPRESIDENT WENZAKE WA TUNISIA,EGYPT NA LIBYA YASIZUKE BONGO
2)KUJENGA BACKGROUND NZURI YA KUWAKAMATA VIONGOZI WA CHADEMA ILI YAKITOKEA WASEME SI TULIWAAMBIA JAMANI.........
3)AMEOGOPA NGUVU YA UMMA CAUSE ALMOST HOTUBA NZIMA INAONYESHA WOGA WAKE KWA NGUVU YA UMMA
NB;My president mimi honestly ni mtu mmoja wapo ambaye bado naamini unaweza kuongoza Tanzania lakini tatizo kubwa lipo kwa washauri wako nikiangalia hii hotuba nachelea kuamini kuwa this is not you ni sauti za wanafiki na wanaogopa kuumbuliwa wanaoona siku zao zinahesabika so wanakutumia wewe kama chambo ya kufikisha ujumbe please tibu yaliyo ndani yako my president before kuangalia mchawi inawezekana ukawa wewe ndo utachochea amani kuvunjika kwa hotuba hii
REJEA HOTUBA YA HILLARY CLINTON ALIYOTOA LEO MY PRESIDENT