Man 4 M4C
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 743
- 114
Pale suwanga timu ya klampeni ni kama Arumeru,mawakala kama Arumeru. Pia sasa hivi bendera chuma mlingoti chuma. Wewe fikiria ccm walipata kura 17328 na cdm kura 17132 walituzidi kura 196.Angalia yafuatayo:
Hapa watapitia wapi mafisadi,labda wakapitgie mabwepande.:A S 465::spy::director:
- Matokeo walichakachua.
- Watu hawakuamka kama sasa hivi.
- Tayari tumewashinda mahakamani mara mbili.
- Tayari Baba yao kaamua kupumzika siasa.
- Tayari wamemalizana neki na uvccm kwa kuweka watoto wao.
- Msukumo wa mikutano ya cdm ni mkubwa sana kuliko hata kwa shishiemu.
- Kura 196 zitapatiokana kwa waccm pekee waliojitoa kurudi cdm na wananchi waliokuwa hawakupiga kura.
- Wazee wengi amabao ni shishiem wameendelea kufa na waliobaki wamekata tamaa na wengine wamejivua gamba.
- Wananchi wanataka mabadiliko.
- Mkapa kakubali matokeo baada ya kupigwa Arumeru.
- Sumbawanga maeneo yao pia yamevamiwa na mtoto wa mkulima anatoka kwao.
- Mtoto wa mkulima ameproof kuwa yeye ni mtoto wa bepari.
Hapa watapitia wapi mafisadi,labda wakapitgie mabwepande.:A S 465::spy::director: