Sumaye: Kutoka Waziri Mkuu mpaka Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani. Si kupotea kisiasa huku?

Tatizo mimi naongelea ideas, wewe unaongelea watu.

Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people. - Eleanor Roosevelt.
John Quincy Adams siyo mtu?
 
Wanaukumbi.

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amekubali ombi la viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani, waliomchukulia fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa chama hicho kanda hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Baadhi ya viongozi hao waliojitokeza kumchukulia fomu Sumaye ni Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara, Mwenyekiti wa chama hicho Ilala, Dk. Makongoro Mahanga na Mwenyekiti wa mkoa wa Pwani, Baraka Mwago.

Baada ya kuchukua fomu hiyo katika ofisi za Chadema Kanda Kinondoni jana, viongozi hao walielekea nyumbani kwa Sumaye maeneo ya Tondoroni Kiluvya, mkoa wa Pwani, kwa ajili ya kumkabidhi.

Baada ya kupokea fomu hizo, Sumaye alikubali ombi hilo na kuzijaza na kuahidi kurejesha leo katika ofisi hizo.

Akizungumza na waandishi wa habari kijijini kwake mara baada ya kukabidhiwa fomu hizo na Waitara, Sumaye alisema ni wakati sasa wa kukipeleka chama hicho hadi vitongojini.

Waziri Mkuu huyo mstaafu alihamia upinzania mwaka jana katika harakati za uchaguzi mkuu akitokea Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hivi karibuni aliteuliwa kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema.

Sasa atagombea nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA kanda ya pwani, kwa heshima yake aliyokuwa nayo kwa nini Mbowe asimpishe awe Mwenyekiti wa Taifa.

Cha kushangaza zaidi ni yule aliyekuwa UN vice secretary kuwa mbunge wa kuteuliwa.
 
Unajua kuna mambo kama hukuyafanya utotoni au ujanani utayafanya uzeeni tu. Huyu sumaye hakuwa mtundu utotoni ngoja sasa kina mbowe wamfundishe utundu ukubwani, swali ni jeee? ataumudu mchezo wa utu uzimani?
 
Nyie watu wa Lumumba mnaabudu sana vyeo kuliko ufanisi unaotokana na vyeo. Wenzenu wa Israel na kwingineko wameshazoea haya mambo. Halafu Waziri mkuu ni sawa tu na mawaziri wengine isipokuwa yeye anakuwa ni kiranja wao!!
 
teh! teh! hili zombie la lumumba bana, mwandiko wako tu inaashiria kiraza uliyekubuhu. sasa kama akili yako inajua ukuu wa chuo ni cheo cha heshima kuliko urais wa nchi, we si utakuwa mtu hai akili mfu!
Mitoto ya nje ya ndoa ina taabu sana
 
Mitoto ya nje ya ndoa ina taabu sana

kumbe povu lote hilo wewe ni ntoto wa nkapa wa nje ya ndoa?! ndo maana hata kwenye jubilee hatukukuona! kwa hiyo lile zee lako lenye masikio makubwa lilishikishwa tu!
 
wewe unataka aweje ili ujiridhishe kuwa hajapotea kisiasa? uwe unafikiria kwa kutumia ubongo wako na sio viungo vingine vinginevya mwili
 
Acha ushamba mbona asha rose migiro katoka umoja Wa mataifa kawa balozi UK? Tibaijuka katoka UN habitat mpaka kawa mbunge ,Ehud barak alitoka uwaziri mkuu akawa Waziri Wa ulinzi?
 
Wanaukumbi.

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amekubali ombi la viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani, waliomchukulia fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa chama hicho kanda hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Baadhi ya viongozi hao waliojitokeza kumchukulia fomu Sumaye ni Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara, Mwenyekiti wa chama hicho Ilala, Dk. Makongoro Mahanga na Mwenyekiti wa mkoa wa Pwani, Baraka Mwago.

Baada ya kuchukua fomu hiyo katika ofisi za Chadema Kanda Kinondoni jana, viongozi hao walielekea nyumbani kwa Sumaye maeneo ya Tondoroni Kiluvya, mkoa wa Pwani, kwa ajili ya kumkabidhi.

Baada ya kupokea fomu hizo, Sumaye alikubali ombi hilo na kuzijaza na kuahidi kurejesha leo katika ofisi hizo.

Akizungumza na waandishi wa habari kijijini kwake mara baada ya kukabidhiwa fomu hizo na Waitara, Sumaye alisema ni wakati sasa wa kukipeleka chama hicho hadi vitongojini.

Waziri Mkuu huyo mstaafu alihamia upinzania mwaka jana katika harakati za uchaguzi mkuu akitokea Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hivi karibuni aliteuliwa kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema.

Sasa atagombea nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA kanda ya pwani, kwa heshima yake aliyokuwa nayo kwa nini Mbowe asimpishe awe Mwenyekiti wa Taifa.

Kwa nini ampishe? Wakati wa uchaguzi wa mwenyekiti uklifika, akiamua kuchukua atachukue na Mhe. Mbowe akitaka kuendelea na uwenyekiti wake naye achukue fomu, sisi tutaamua nani awe kiongozi wetu. Mbona hakuna tatizo hapo?
 
Back
Top Bottom