Sumaye ashangaa agizo la kukamatwa kwake

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,303
Waziri mkuu wa zamani Fredrick Sumaye ameshangaa agizo la mkuu wa wilaya ya Ubungo la kutaka akamatwe
Ameseam serikali inataka kukatisha tamaa mipango ya Chadema lakini hawataweza, wataleta vurugu zisizo na msingi

Amedai wao walikuwa wanatembelea kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na madiwani wa Chadema kwa faida ya wananchi na kama CCM wanavyofanya na kuhoji hilo ni kosa kwa misingi ipi

 
ilipasa iwe miradi ya chama lakini miradi inayotekelezwa na serikali haipaswi "kukaguliwa" na yeyote Bali kiongozi toka serikalini!! Ivi alivyokagua angekuta Kosa na kusema labda wabomoe wangebomoa ingekuwaje?? Tusifanye siasa nyiiingi hatakama ccm hufanya siyosawa kuwaiga
 
kuna nn kwan, alivyotembelea hiyo miradi kuna vurugu ilitokea pahali! kweli mpinzani tz yataka moyo.
 
Katika mawaziri wakuu Bomu waliowahi kuvumiliwa Tanzania ni huyu.
 
Sumaye atulie tu, kipindi yupo madarakani walipitisha sharia za kipumbavu alijua ni kwa ajili ya Mbowe pekee, hili no fundisho kwa watawala wrote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…