Huyu Mr.zero sumaye sitak hata kumsikia,alimuwa wazir mkuu kibur,jeuri na mwenye lugha za kuhadaa,leo kaanza kufilisika alitaka kurud tena kutupiga wakamkata anawaambia nn,aliyajua hayo kwann alitaka kuingia tena huko angetoka bila kukatwa,mahesabu yake ni kugombea urahis wa nchi hii tena kwa ukawa hilo halipo.hana cha kutuambia sasa tukamuelewa