Kwa hiyo mkiambiwa ccm imewafanya watanzania kuwa masikini zaidi ya miaka 50 mbona mnakataa.Vijijini ambako asilimia 80 ya watanzania wanaishi sukari sio kipaumbele kwao wala sio wanywaji wa chai wala uji kwao sukari ni illelevant product inanywewa na Wagonjw wakilazwa hospitali tu Ndio unampelekea mgonjwa uji au chai chenye sukari lakini 80 per cent ya watanzania hawahitaji sukari ni only 20 percent ya wakazi wa mijini
Imefikia kama ulivyosema kuwa watu wa kijijini sukari kwao ni anasa.
Aibu imewafika unaficha kichwa mkia unaoneananaone