MATHIAS KABYEMERA
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,793
- 573
Wamesahanu Kigogo Kawe
Kibamba na Mbezi Luis ni Wilaya ta Kinondoni ?Sumatra wapo kwaajili ya wilaya ya Kinondoni Tu jaribuni kuangalia na huku wilaya ya temeke hasa maeneo ya mbagala na vitongoji vyake
Kamanda Kahatano amesahau Tabata - Masaki hakuna usafiri wa moja kwa moja
Tabata Segerea masaki mabasi yapo nishayaona matatu tofauti nauli ni 750Kamanda Kahatano amesahau Tabata - Masaki hakuna usafiri wa moja kwa moja
Whaoo! Sijabahatika kuliona. Linapita barabara zipi?Segerea masaki ipo ila si ya kutosha
Badala ya wote kung'ang'ania morogoro road na sam nujoma road, nusu yatapitia Goba road..bony sijaelewa zitapunguzaje foleni.
Idadi ya abiria bado haijawa ya kuridhisha kuvutia mtu akanunue basi milioni 60 kwenda kubeba abiria wawili kama bajajiBaada ya daraja la kigamboni kuanza kutumika rasmi zilitangazwa ruti mpya ambazo ni Kigamboni kwenda Kariakoo, Stesheni, Temeke na Mbagala rangi tatu zote kupitia kwenye daraja. Lakini ajabu mpaka leo mimi binafsi sijawahi kuyaona hayo mabasi yakienda hizo ruti isipokua Kigamboni - Machinga complex.
nimekupata vemaMagar yatapungua kwenda njia moja kwa maana sio daladala zote za makumbusho zitapita morogoro road kama ilivyokuwa mwanzo
Tatizo ni ushuru wa Daraja pale ndio maana Mabasi yanakwepa hiyo njiaBaada ya daraja la kigamboni kuanza kutumika rasmi zilitangazwa ruti mpya ambazo ni Kigamboni kwenda Kariakoo, Stesheni, Temeke na Mbagala rangi tatu zote kupitia kwenye daraja. Lakini ajabu mpaka leo mimi binafsi sijawahi kuyaona hayo mabasi yakienda hizo ruti isipokua Kigamboni - Machinga complex.
Tabata kumezidi foleni labda watanue barabara kwanzaHii itasaidia sana kuhakikisha daladala hazikati ruti; ila mbona Tabata inasahauliwa sana? Tabata haina ruti za kwenda sehemu nyingi moja kwa moja
650gongolamboto - kawe
tabata-masaki/msasani/kawe
nauli elekezi