Ni jambo la kusikitisha kuona Kuna Idara ya Serikali kama SUMATRA Mkoa wa Mara ikilazimsha kila gari hata Private kulipa faini ya Sh laki mbili na nusu ama kutoa rushwa ya shillingi laki moja.
Naomba Waziri wa Uchukuzi afuatilie hili tatizo ambalo limeendelea kufanyika wilayani Tarime. Hizi ni kero ambazo zinafanywa na watendaji wasioitaka mema CCM kuelekea uchaguzi mkuu.
Naomba Waziri wa Uchukuzi afuatilie hili tatizo ambalo limeendelea kufanyika wilayani Tarime. Hizi ni kero ambazo zinafanywa na watendaji wasioitaka mema CCM kuelekea uchaguzi mkuu.