Naamini matatizo ya usafiri katika miji hususani DSM, Arusha, Mwanza, ni miundombinu na si kingine, na suluhisho litapatikana kwa miundombinu kuboreshwa na si kila siku kuja na hekaya ambazo utekelezaji wake ni ndoto, Umefika wakati ufumbuzi wa haya matatizo waachiwe wataalamu husika na sio wanasiasa,Ni juzi tu Ngugu Raisi katoa agizo Dar kujengwe madaraja ya juu ( Fly over), huyu leo kaja na lake, kesho na mkuu wa mkoa atakuja na lake ili mradi siku zinakwenda,