Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,549
- 34,877
King Ngwaba,
Dah!..Dunia ina mengi hii.
Dah!..Dunia ina mengi hii.
Hata miaka 70 si miaka kidogo kwa kuishi binaadamu ...hatuwezi kuishi milele!!Mkuu Oman haina mafuta,,,pia kansa haina Cha hospital Kama imeshafika terminal stage
Kusema uongo na kuzusha jambo lisilokuwepo nayo ni dalili ya ushoga.
Alikuwa naniiii.....pengine!! Waingereza walimharibu!!miaka 49 bila mke wala mchepuko? kuna namna hapa
au sultan alikuwa hanithi?
Oman raia wa kawaida wanavyofaidi huduma za kijamii usifananishe na hapa Tanzania ...sifahamu kuhusu siasa za ndani ila wametupita nchi nyingi za kiafrika kwa huduma za kijamii na kabla ya utawala wake Oman ilikua vumbi tupu ...na mwanzo wa utawala wake watu waliacha kazi Afrika wakaenda Oman na wakapata nyadhifa za juu katika utawala wake ...siweI kuelezea zaidi ila muda mwengine tusicomment upuuzi kwa mambo tusiyoyajua!!
Sent using Jamii Forums mobile app