Sultan Qaboos wa Oman afariki dunia. Sultan Haitham Bin Tariq Al Said achaguliwa kuwa mrithi wake

Hili ndilo kaburi la mfalme Qaboos bin Said
1578817231008.png
 
Ukweli ni kwamba Historia ya Oman ni sawa na ya Korea ya Kaskazini na Kusini.

Historia za Nchi hizo 3 zinafichwa na wala haziruhusiwi kuandikwa popote pale ndiyomana hazitoki nje ya Nchi isipokuwa zinabaki Ndani ya Vichwa vya Raia wao wanaozishuhidia tu.

Unajuwa sababu ni nini?

Raia yoyote wa Nchi hizo akitoa Historia au Jambo baya lolote la Nchi hizo basi anahukumia kifo kwa uhaini (Treason).

Hivi Unadhani Mapinduzi aliyoyafanya Qaboos dhidi ya babayake hayakumwaga damu?

Ukweli ambao hauruhusiwi kuzungumzwa na Raia yeyote wa Oman ni kuhusu Mapinduzi haya.

Mimi ni Mzanzibar na Nina Familia ambayo ni Raia wa Oman na Wanaishi Mascut Oman. Miongoni mwa wanayoyajua lakini hayawezi kuandikwa popote ni kuwa!

Qaboos baada ya kusoma Oman ni Waingereza ndiyo waliomuwezesha kumpindua babayake ili kuitoa Nchi katika Siasa za Mashariki (Communism) za Russia na China na kuingiza Oman katika siasa za Magharibi (Capitalism).

Bila ya Waingereza Qaboos hakuwa na uwezo wa Kumpindua babayake.

Na katika Harakati za Mapinduzi hayo Babayake Qaboos alijeruhiwa kwa kupigwa Risasi ya Mguu na Kukimbilia Uengereza ambako alitibiwa na Kufa kwa Jeraha.

Baada ya Kifo chake Historia ya Mapinduzi hayo ikawa Banned, Na kumbukumbu zote kuhusu Babayeke, Qaboos akazifuta na Raia wakawa forced kusahau Legacy ya Babayake Qaboos.

Hadi sasa hakuna historia ya Babayeke Qaboos iliyochapishwa.

Ni huyu Qaboos Mtoto ndiye aliyezuiwa kutajwa babayake na kuhakikisha anasahaulika kama aliishi Duniani.

Kwanini Hajaowa?
Baada ya Mapinduzi kabla ya Babayake Kufa alimtumia ujumbe Mwanawe na kumwambia "Kama Ulivyonipindua Mimi, na Wewe Atatokea Mtoto wako Akupindue".

Hapo ndipo akayachukua hayo Maneno kwa uzito na Kuachana na Habari za Kuowa au Kuzaa Mtoto wa Kwenye Ndoa kwa kuhofia kuja kupinduliwa na Mtoto wake.

Ndiyo hapo akawa anaishi kwa Kuletewa Wanawake anaowahitaji ndani ya Palace yake anagonga wanaishi kwa kipindi anachotaka yeye mwenyewe Qaboos then wanalipwa na kuondoka.

But nisawa na kutekwa na Wasiojuilikana yaani ukiingia kwenye Qasri ya Qaboos ukitoka katu hitosema ulichofanywa.

In Short Jamaa inawezekana anaowatoto ambao kawazaa illegally kwa Mila za Kiislam na hawahesabiki kuwa ni Wanae.

Hata Hivyo ukweli usiofichika ni kwamba Kafanya Mageuzi Makubwa ya Kiuchumi ndani ya Oman.
Una akili sana mkuu, hata kama umedanganya, nimependa mtiririko wako wa usimulizi. Na wengine tumejifunza kwa hiki kidogo ulichotuwekea. Wengine sijui wakoje, wamekalia ushabiki wa kidini, ukabila na blah blah blah kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marehemu Sultan Qaboos bin Said alikuwa 'mwanamageuzi' kwa maslahi mapana ya Oman. Mfano aliwateua viongozi bila kujali jinsia n.k hapa viongozi wakila kiapo ktk jumba la Bait Al Barkah kukubali nyadhifa zao za utumishi ktk serikali na utiifu kwa Sultan

anafanana na magufuli kwa uzalendo
 
Kumbukizi
12 Jan 2020
Muscat, Oman

Hotuba ya mwanzo ya Maulana Mtukufu Sultan Qaboos bin Said kwa waOmani alipochukua madaraka miaka 50 iliyopita

50 years of development, dedication & mutual love between the late HM Sultan Qaboos & people of Oman Report: Saleh bin Khalfan Al Rahbi


Source: Oman News Center
 
January 12, 2020
Muscat, Oman

HM Sultan Haitham bin Tariq Al Saeed receives H.E British Prime Minister Boris Johnson


Source: Oman News Center
 
January 12, 2020
Muscat, Oman

Waziri wa Ulinzi wa Uingereza na Ujumbe wake wa maofisa wa ngazi ya juu waandamizi ktk jeshi la Uingereza wafika kumpa pole Mtukufu Sultan Haitham bin Tariq Al Saeed na raia wa Oman kufuatia msiba mzito



Source: Oman News Center
 
12 Jan 2020
HM Sultan Haitham bin Tariq Al Saeed receives HRH Prince Charles of Wales


Source: Oman News Center
 
January 12, 2020
Muscat, Oman

Viongozi toka mataifa ya nje Emir wa Kuwait, Emir wa Qatar, Mfalme wa Bahrain, Mfalme wa Tororo akiwakilisha salamu za Rais Yoweri Museveni wa Uganda na wengine wengi wafika kumpa pole Sultan Haitham bin Tariq Al Saeed na raia wake wa Oman kufuatia msiba mzito


Source: Oman News Center
 
Acha chuki zako mshamba wewe,kama huna general knowledge ni upuuzi na uvivu wako mwenyewe,una roho mbaya hata kwa mtu ambae ukoo wenu wote mjkichanga kila munachomiliki hamuwezi kufikia thamani ya ndala zake za kuendea chooni.
Kama hujui chochote kuhusu yeye kaa kimya,tutajua kuwa humjui,wangapi wamekaa kimya,PIMBI WEWE.
Sijawahi kumsikia Sultani Kwabuzi mpaka wiki iliyopita wakati anaeleke kufa.

Huko kuheshimiwa nchi zote hizo labda wangeongelea pwani za Pemba, Unguja, Mombasa , sio Tanganyika. Nobody in Tanganyika heard of this Sultani Kwabuzi guy much less kumuheshimu. Huku hatuheshimu ma sultani anyhow.

Na Tanganyika haijawahi kuwa chini ya himaya ya Oman wala Sultani Kwabuzi. Straighten up the history.

The guy rules an oil-drenched territory for 49 years and builds no hospital to treat him when dying sick because he can hop on a private jet to a Belgium hospital any moment he needs to. Useless, narcissistic dictators of the third world.
 
Anatokea msjamba mmoja anajiita sijui "Acid"anamponda mtu ambae hajawahi kunyooshewa kidole kwa baya lolote na mtu yeyote DUNIANI,jambo ambalo ni alama ya utu na heshima.
Inna li Llahi wa inna ilayhi rajiun.

Ni msiba mzito kwa Oman na dunia kwa ujumla.

Qaboos ni kiongozi wa kupigiwa mfano duniani. Sijawahi kusikia nchi ya Oman ikiwa na maadui.

Nijuavyo, Oman wakati wote wa Qaboos haikuingilia siasa za ndani au za nje za nchi yoyote duniani. Na kuingilia kwake nchi ya nje ni aidha kutoa misaada au kupatanisha tu.

Oman ni nchi pekee ya Kiarabu yenye raia wenye nidhamu ya hali ya juu katikanmaisha yao ya kila siku. Reflection ya uongozi wa Qaboos ulionekana kwa kila raia wa Oman.

Sijakutana na raia wa Oman ambae hakumpenda Qaboos. Sijakutana na raia wa nje ya Oman ambae amewahi kumponda Qabois au utawala wake.

Tanzania na Oman zina historia ya undugu wa karne na karne na hakuna ajuae ulianzia wapi exactly. Record za uhusiano na muingiliano baina ya Tanzania na Oman zipo za zaidi ya miaka elfu moja nyuma na ni dahari.

Allah amlaze pema peponi amsamehe yeye aliyetutangulia atusamehe nasi tunaoelekea huko kwenye makazi ya milele. Amin.
 
Huyu jamaa alikuwa maarufu huko pwani,tanga na Zanzibar

Mie nimjua baada ya kufa kupitia hapa if

SIDHAN KAMA NDUGU ZANGU HUKO MBEYA AMBAO HAWAPO JF WANATAMBUA KUWA KAFA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anatokea msjamba mmoja anajiita sijui "Acid"anamponda mtu ambae hajawahi kunyooshewa kidole kwa baya lolote na mtu yeyote DUNIANI,jambo ambalo ni alama ya utu na heshima.
Mtu kama huyo anayejiita Tindikali ni watu wenye roho za kichawi, anamchukia mtu tu bila sababu yoyote, hajamkosa kitu, hamfahamu mwanzo wala mwisho, ameshindwa hata kujifanyia kiutafiti kidogo kuelewa huyu ni mtu wa aiana gani badi anakuja humu anatapika na kuharisha bila mpango. Huyo alifaa ajiite "diarrhoea".

Kama kuna kiongozi yeyote duniani wa hivi karibuni anaefaa kupigiwa mfano kuwa ni kiongozi bora, basi itakuwa ni Qaboos, kwa wale wanaotazama dunia inavyoongizwa bila kuwa "biased".
 
Asipoelewa kama kweli haelewi basi hata elewa hata kwa msaada wa mashine,muhimu ni kwamba tumefahamu huyo"UHARO"kuwa ni mtupu kwenye mambo ya kawaida kabisa,huku akijificha kwenye kichaka cha chuki UCHWARA.
Mtu kama huyo anayejiita Tindikali ni watu wenye roho za kichawi, anamchukia mtu tu bila sababu yoyote, hajamkosa kitu, hamfahamu mwanzo wala mwisho, ameshindwa hata kujifanyia kiutafiti kidogo kuelewa huyu ni mtu wa aiana gani badi anakuja humu anatapika na kuharisha bila mpango. Huyo alifaa ajiite "diarrhoea".

Kama kuna kiongozi yeyote duniani wa hivi karibuni anaefaa kupigiwa mfano kuwa ni kiongozi bora, basi itakuwa ni Qaboos, kwa wale wanaotazama dunia inavyoongizwa bila kuwa "biased".
 
Sijawahi kumsikia Sultani Kwabuzi mpaka wiki iliyopita wakati anaeleke kufa.

Huko kuheshimiwa nchi zote hizo labda wangeongelea pwani za Pemba, Unguja, Mombasa , sio Tanganyika. Nobody in Tanganyika heard of this Sultani Kwabuzi guy much less kumuheshimu. Huku hatuheshimu ma sultani anyhow.

Na Tanganyika haijawahi kuwa chini ya himaya ya Oman wala Sultani Kwabuzi. Straighten up the history.

The guy rules an oil-drenched territory for 49 years and builds no hospital to treat him when dying sick because he can hop on a private jet to a Belgium hospital any moment he needs to. Useless, narcissistic dictators of the third world.
Sultani Kwabuzi!!!
 
Kwahio watu wakikwambia Mama yako ni Kahaba automatically atakua ni Kahaba kweli? Hebu kuwa na utu uache kumsengenya marehemu. Pumbav
Hayo mambo ya mambo ya mama yako wewe kuwa kahaba hata siyajuhi!
wewe kama umeamua kuyamwaga hapa mimi simo.
 
Tindikali

...sifahamu kuhusu siasa za ndani ila wametupita

Well, siasa za ndani huwa hakuna, Oman ya Sultani Kwabuzi.

He was a ruthless omnipotent ruler who brooked no political processes.

2014 alipotezwa mwandishi mkosoaji na mtetezi wa haki za binadamu Mohammed Alfazari, aliyewekwa kizuizini kituo cha polisi na kuondoka mazima.

Hakuna bunge, sheria za Oman zinapitishwa kwa tangazo la mfalme, royal decree. Anachoota usiku asubuhi kinatangazwa, mchana sheria!

Sultani Kwabuzi amekufa akiwa Gavana wa Benki Kuu ya Oman, Mkuu wa Majeshi ya Oman, Waziri wa Mambo ya Nje, Waziri wa Ulinzi na Sultani wa Oman, vyote kwa mpigo.

Dikteta Jean Bedel Bokassa, Seseseko Kuku Ngebendu, Dada Iddi Amini Nduli, walijilimbikizia mavyeo ya kijeshi na kiraia lakini uroho wao wa madaraka haukufikia wa kujiweka Ugavana wa Benki Kuu ili uwe mmiliki binafsi wa akaunti kuu ya nchi kama alivyofanya Sultani Kwabuzi.
 
Inna li Llahi wa inna ilayhi rajiun.

Ni msiba mzito kwa Oman na dunia kwa ujumla.

Qaboos ni kiongozi wa kupigiwa mfano duniani. Sijawahi kusikia nchi ya Oman ikiwa na maadui.

Nijuavyo, Oman wakati wote wa Qaboos haikuingilia siasa za ndani au za nje za nchi yoyote duniani. Na kuingilia kwake nchi ya nje ni aidha kutoa misaada au kupatanisha tu.

Oman ni nchi pekee ya Kiarabu yenye raia wenye nidhamu ya hali ya juu katikanmaisha yao ya kila siku. Reflection ya uongozi wa Qaboos ulionekana kwa kila raia wa Oman.

Sijakutana na raia wa Oman ambae hakumpenda Qaboos. Sijakutana na raia wa nje ya Oman ambae amewahi kumponda Qabois au utawala wake.

Tanzania na Oman zina historia ya undugu wa karne na karne na hakuna ajuae ulianzia wapi exactly. Record za uhusiano na muingiliano baina ya Tanzania na Oman zipo za zaidi ya miaka elfu moja nyuma na ni dahari.

Allah amlaze pema peponi amsamehe yeye aliyetutangulia atusamehe nasi tunaoelekea huko kwenye makazi ya milele. Amin.
Kweli Waafrika tunasahau kabisa . Hawa hatuna undugu nao walituuza kama kuku hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom