Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muingereza hajawahi kuumba.Hapo ndipo utaikubali kazi au product ya Muingereza.
Una akili sana mkuu, hata kama umedanganya, nimependa mtiririko wako wa usimulizi. Na wengine tumejifunza kwa hiki kidogo ulichotuwekea. Wengine sijui wakoje, wamekalia ushabiki wa kidini, ukabila na blah blah blah kibaoUkweli ni kwamba Historia ya Oman ni sawa na ya Korea ya Kaskazini na Kusini.
Historia za Nchi hizo 3 zinafichwa na wala haziruhusiwi kuandikwa popote pale ndiyomana hazitoki nje ya Nchi isipokuwa zinabaki Ndani ya Vichwa vya Raia wao wanaozishuhidia tu.
Unajuwa sababu ni nini?
Raia yoyote wa Nchi hizo akitoa Historia au Jambo baya lolote la Nchi hizo basi anahukumia kifo kwa uhaini (Treason).
Hivi Unadhani Mapinduzi aliyoyafanya Qaboos dhidi ya babayake hayakumwaga damu?
Ukweli ambao hauruhusiwi kuzungumzwa na Raia yeyote wa Oman ni kuhusu Mapinduzi haya.
Mimi ni Mzanzibar na Nina Familia ambayo ni Raia wa Oman na Wanaishi Mascut Oman. Miongoni mwa wanayoyajua lakini hayawezi kuandikwa popote ni kuwa!
Qaboos baada ya kusoma Oman ni Waingereza ndiyo waliomuwezesha kumpindua babayake ili kuitoa Nchi katika Siasa za Mashariki (Communism) za Russia na China na kuingiza Oman katika siasa za Magharibi (Capitalism).
Bila ya Waingereza Qaboos hakuwa na uwezo wa Kumpindua babayake.
Na katika Harakati za Mapinduzi hayo Babayake Qaboos alijeruhiwa kwa kupigwa Risasi ya Mguu na Kukimbilia Uengereza ambako alitibiwa na Kufa kwa Jeraha.
Baada ya Kifo chake Historia ya Mapinduzi hayo ikawa Banned, Na kumbukumbu zote kuhusu Babayeke, Qaboos akazifuta na Raia wakawa forced kusahau Legacy ya Babayake Qaboos.
Hadi sasa hakuna historia ya Babayeke Qaboos iliyochapishwa.
Ni huyu Qaboos Mtoto ndiye aliyezuiwa kutajwa babayake na kuhakikisha anasahaulika kama aliishi Duniani.
Kwanini Hajaowa?
Baada ya Mapinduzi kabla ya Babayake Kufa alimtumia ujumbe Mwanawe na kumwambia "Kama Ulivyonipindua Mimi, na Wewe Atatokea Mtoto wako Akupindue".
Hapo ndipo akayachukua hayo Maneno kwa uzito na Kuachana na Habari za Kuowa au Kuzaa Mtoto wa Kwenye Ndoa kwa kuhofia kuja kupinduliwa na Mtoto wake.
Ndiyo hapo akawa anaishi kwa Kuletewa Wanawake anaowahitaji ndani ya Palace yake anagonga wanaishi kwa kipindi anachotaka yeye mwenyewe Qaboos then wanalipwa na kuondoka.
But nisawa na kutekwa na Wasiojuilikana yaani ukiingia kwenye Qasri ya Qaboos ukitoka katu hitosema ulichofanywa.
In Short Jamaa inawezekana anaowatoto ambao kawazaa illegally kwa Mila za Kiislam na hawahesabiki kuwa ni Wanae.
Hata Hivyo ukweli usiofichika ni kwamba Kafanya Mageuzi Makubwa ya Kiuchumi ndani ya Oman.
Marehemu Sultan Qaboos bin Said alikuwa 'mwanamageuzi' kwa maslahi mapana ya Oman. Mfano aliwateua viongozi bila kujali jinsia n.k hapa viongozi wakila kiapo ktk jumba la Bait Al Barkah kukubali nyadhifa zao za utumishi ktk serikali na utiifu kwa Sultan
Sijawahi kumsikia Sultani Kwabuzi mpaka wiki iliyopita wakati anaeleke kufa.
Huko kuheshimiwa nchi zote hizo labda wangeongelea pwani za Pemba, Unguja, Mombasa , sio Tanganyika. Nobody in Tanganyika heard of this Sultani Kwabuzi guy much less kumuheshimu. Huku hatuheshimu ma sultani anyhow.
Na Tanganyika haijawahi kuwa chini ya himaya ya Oman wala Sultani Kwabuzi. Straighten up the history.
The guy rules an oil-drenched territory for 49 years and builds no hospital to treat him when dying sick because he can hop on a private jet to a Belgium hospital any moment he needs to. Useless, narcissistic dictators of the third world.
Inna li Llahi wa inna ilayhi rajiun.
Ni msiba mzito kwa Oman na dunia kwa ujumla.
Qaboos ni kiongozi wa kupigiwa mfano duniani. Sijawahi kusikia nchi ya Oman ikiwa na maadui.
Nijuavyo, Oman wakati wote wa Qaboos haikuingilia siasa za ndani au za nje za nchi yoyote duniani. Na kuingilia kwake nchi ya nje ni aidha kutoa misaada au kupatanisha tu.
Oman ni nchi pekee ya Kiarabu yenye raia wenye nidhamu ya hali ya juu katikanmaisha yao ya kila siku. Reflection ya uongozi wa Qaboos ulionekana kwa kila raia wa Oman.
Sijakutana na raia wa Oman ambae hakumpenda Qaboos. Sijakutana na raia wa nje ya Oman ambae amewahi kumponda Qabois au utawala wake.
Tanzania na Oman zina historia ya undugu wa karne na karne na hakuna ajuae ulianzia wapi exactly. Record za uhusiano na muingiliano baina ya Tanzania na Oman zipo za zaidi ya miaka elfu moja nyuma na ni dahari.
Allah amlaze pema peponi amsamehe yeye aliyetutangulia atusamehe nasi tunaoelekea huko kwenye makazi ya milele. Amin.
Mtu kama huyo anayejiita Tindikali ni watu wenye roho za kichawi, anamchukia mtu tu bila sababu yoyote, hajamkosa kitu, hamfahamu mwanzo wala mwisho, ameshindwa hata kujifanyia kiutafiti kidogo kuelewa huyu ni mtu wa aiana gani badi anakuja humu anatapika na kuharisha bila mpango. Huyo alifaa ajiite "diarrhoea".Anatokea msjamba mmoja anajiita sijui "Acid"anamponda mtu ambae hajawahi kunyooshewa kidole kwa baya lolote na mtu yeyote DUNIANI,jambo ambalo ni alama ya utu na heshima.
Mtu kama huyo anayejiita Tindikali ni watu wenye roho za kichawi, anamchukia mtu tu bila sababu yoyote, hajamkosa kitu, hamfahamu mwanzo wala mwisho, ameshindwa hata kujifanyia kiutafiti kidogo kuelewa huyu ni mtu wa aiana gani badi anakuja humu anatapika na kuharisha bila mpango. Huyo alifaa ajiite "diarrhoea".
Kama kuna kiongozi yeyote duniani wa hivi karibuni anaefaa kupigiwa mfano kuwa ni kiongozi bora, basi itakuwa ni Qaboos, kwa wale wanaotazama dunia inavyoongizwa bila kuwa "biased".
Sultani Kwabuzi!!!Sijawahi kumsikia Sultani Kwabuzi mpaka wiki iliyopita wakati anaeleke kufa.
Huko kuheshimiwa nchi zote hizo labda wangeongelea pwani za Pemba, Unguja, Mombasa , sio Tanganyika. Nobody in Tanganyika heard of this Sultani Kwabuzi guy much less kumuheshimu. Huku hatuheshimu ma sultani anyhow.
Na Tanganyika haijawahi kuwa chini ya himaya ya Oman wala Sultani Kwabuzi. Straighten up the history.
The guy rules an oil-drenched territory for 49 years and builds no hospital to treat him when dying sick because he can hop on a private jet to a Belgium hospital any moment he needs to. Useless, narcissistic dictators of the third world.
Hayo mambo ya mambo ya mama yako wewe kuwa kahaba hata siyajuhi!Kwahio watu wakikwambia Mama yako ni Kahaba automatically atakua ni Kahaba kweli? Hebu kuwa na utu uache kumsengenya marehemu. Pumbav
Hayo mambo ya mambo ya mama yako wewe kuwa kahaba hata siyajuhi!
wewe kama umeamua kuyamwaga hapa mimi simo.
Kweli Waafrika tunasahau kabisa . Hawa hatuna undugu nao walituuza kama kuku hawa.Inna li Llahi wa inna ilayhi rajiun.
Ni msiba mzito kwa Oman na dunia kwa ujumla.
Qaboos ni kiongozi wa kupigiwa mfano duniani. Sijawahi kusikia nchi ya Oman ikiwa na maadui.
Nijuavyo, Oman wakati wote wa Qaboos haikuingilia siasa za ndani au za nje za nchi yoyote duniani. Na kuingilia kwake nchi ya nje ni aidha kutoa misaada au kupatanisha tu.
Oman ni nchi pekee ya Kiarabu yenye raia wenye nidhamu ya hali ya juu katikanmaisha yao ya kila siku. Reflection ya uongozi wa Qaboos ulionekana kwa kila raia wa Oman.
Sijakutana na raia wa Oman ambae hakumpenda Qaboos. Sijakutana na raia wa nje ya Oman ambae amewahi kumponda Qabois au utawala wake.
Tanzania na Oman zina historia ya undugu wa karne na karne na hakuna ajuae ulianzia wapi exactly. Record za uhusiano na muingiliano baina ya Tanzania na Oman zipo za zaidi ya miaka elfu moja nyuma na ni dahari.
Allah amlaze pema peponi amsamehe yeye aliyetutangulia atusamehe nasi tunaoelekea huko kwenye makazi ya milele. Amin.