Akuna asiejua nyie ni bange na virobaMbona mvuta bangi na mkulima wa bangi ni Msukuma?
Wewe pia ni mtu mjinga sana!
Mbunge mwenye kura nyingi kuliko yeyote yule amesema mawaziri wanapenda kutafuta majipu ya kutumbua kwa sifa ili kumfurahisha rais, mawaziri wanaona fahari kutengeneza jipu ili baadae waje wayatumbue ili waonekane wanafanya kazi vizuri
Nakubali ila katoa wazo zuri ili kuepuka wavuta bange wasiolipa kodi akimaanisha nyie mnatumia vitu bila kodiUsisahau alieomba ihalalishwe ni mbunge wa CCM lkn mkuu au unatumia kiungo kipi kwenye kufikiria
Kila mtu ana namna yake ya kuchangia mada!Siku ukija kuacha kudeki Barabara utanielewa tu.
Mama slaa nyumba imeuzwaSiku ukija kuacha kudeki Barabara utanielewa tu.
Hivi Mmawia amepotelea wapi? Ndio mada zake za kujidai hizi
Kichwa chako kimejaa level kubwa sana ya ujinga!!Hii ni hatari mh Spika unaongozwa na MZUKA (Sugu)!!!!
Aaah aituhusu hiyoJenista Mhagama leo nimemtoa thamani....