Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,986
- 8,956
ushangae bongo unakuta anaendesha mmama halafu kijeba kina passo😂Sasa gari inategemea na aina ya engine
Hp 280..hizo ndio tamu sasa
ushangae bongo unakuta anaendesha mmama halafu kijeba kina passo😂Sasa gari inategemea na aina ya engine
Hp 280..hizo ndio tamu sasa
hayo mafuta unayo mkuu ya kuchezea mshale wa Hp280😇😂😂Ni 2GR-FSE hio mzee inafua 280HP with 5-Speed ECT enough kuimeza subaru mapema sana.
Kwa ile ya 2AZ pia inafua 170HP with 7-Speed CVT ambayo ni nyepesi sana kukamata mwendo mkali bila kuremba. Subaru non turbo lazma apotezwe na gear zake 4!
ivi unaijua klugger au unaona hizi za bongo za 2006!??Itoe kluger hapo kwenye list
Hamna dungujeshi hata moja hapo vyote ni vibakuli ila kiTz ndo dungujeshi zetu hizo
Hahaha anahisi Kluger ni hizi za wachina tu za 2.4Livi unaijua klugger au unaona hizi za bongo za 2006!??
Bongo tupo nyuma, hako nissan duals mwaka kama 2019 kalitoka nadhani, sasa LI klugger LA 2019 ni kwereHahaha anahisi Kluger ni hizi za wachina tu za 2.4L
Vp hao mapacha wa3( mark x , Crown na Brevis) wakikutana na C200 Kompressor au 320i nani atamezwa hapo mkuu kwa uzoefu wako?Eeh 2AZ anamezwa sababu kutoka 130 kwenda 180 yuko slow. Mark X, Crown na Brevis hawapoi 0-180 ni chap
Na actually Vanguard ni Rav4 ila imeongezewa upana na vionjo vingineVanguard haitakupa headaches hasa kwenye spares na mafundi na reliability kwa ujumla. Mengine ni personal preferences ingawa nafikiri iko overpriced kidogo kulinganisha na hizo gari nyingine, labda kwa sababu ya umaarufu wake (kama Rav4)
Forester XT ikae kwa Vanguard. Mkuu tunajua unaikubali gari yako ila usije kujichanganya na magari mengine.nauhakika iyo subaru kwa vaguard ana kaaa
Ushaona Vanguard ngapi za 2gr mjini? 99% ni 2AZNi 2GR-FSE hio mzee inafua 280HP with 5-Speed ECT enough kuimeza subaru mapema sana.
Kwa ile ya 2AZ pia inafua 170HP with 7-Speed CVT ambayo ni nyepesi sana kukamata mwendo mkali bila kuremba. Subaru non turbo lazma apotezwe na gear zake 4!
Exactly.Na actually Vanguard ni Rav4 ila imeongezewa upana na vionjo vingine
SI bora huyo wa passo aise kwenye mvua na jua kali yeye hapitiii shida...na habanani sana kwenye daladalaushangae bongo unakuta anaendesha mmama halafu kijeba kina passo😂
Anamezwa kwenye mlima,kwenye mteremko,kwenye kona,kwenye tambarare kila mahali.Kwahiyo 2AZ anamezwa mapema sana na Crown, Brevis, Mark X na wenzake?
Kitakachoibeba c200 na 320i ni uwezo wa kuvuka 180kph ila kwa zone za 0-180kph utashangazwa na Crown au Mark X hasa dereva akiwa jasiri.Vp hao mapacha wa3( mark x , Crown na Brevis) wakikutana na C200 Kompressor au 320i nani atamezwa hapo mkuu kwa uzoefu wako?
Crown inategemea ipi maana aina za engine ni tofauti...sasa li crown majesta lina v8 mzee unalikamatia wap na 2Az yako?Kwahiyo 2AZ anamezwa mapema sana na Crown, Brevis, Mark X na wenzake?
Nataka tofauti ya specs za Crown Majesta, Athlete na Royal Saloon.