Subaru vs Vanguard

Dereva akiwa jasiri hata akiwa na run x atakukata ww na V8 yako halfu muoga muoga...
Tatzo la bongo njiani mtu anamuovertake mtu yupo na mwendo wake hata hana habari za kushindana..halfu akimkata anakuja kijiweni anasema aaah nilimkata jamaa wa V8 mm nikiwa na crown yangu 4gr 😀
 
Back
Top Bottom