Subaru Forester Vs Mazda CX5

Mwezi ujao nataka nihame kwenye Carina Ti na mimi niwe mtu mwenye gari kweli .

Subaru legacy 2015 na subaru forester 2013 hipi itakua nzuri zaidi bei zina tofautiana kwa 3 million
Zote ziko poa ila hapo umefanya comparison ya sedan na SUV vitu viwili vyenye ladha tofauti kabisa
 
Mwezi ujao nataka nihame kwenye Carina Ti na mimi niwe mtu mwenye gari kweli .

Subaru legacy 2015 na subaru forester 2013 hipi itakua nzuri zaidi bei zina tofautiana kwa 3 million
Legacy ni kama Carina TI Tu bado ni gari za chini, sioni sababu ya kutoka kwenye salon na kuingia kwenye salon .... chukua forester 2013
 
Fafanua kidogo hapa mkuu? Ford wanamiliki Mazda au vice versa, au wanashare technology, engine, etc???
Ford walikua na uhusiano na Mazda kwa miaka 40 ambayo walisitisha mwaka 2015 na kubaki na 1/3 ya umiliki na Mazda ila sasa hivi wapo na share na Toyota kwenye Engine na Technology mpya kwa Mazda za miaka ya nyuma Engine na parts zilikua sawa na Ford..
 
Upo sahihi, na yalikua yanapata kutu sana. Ila sasa Mazda na SkyActiv engine yake ameachana kabisa na Ford.
 
Subaru ukiacha speaker pia ni jini Kwa kubugia mafuta
 
Matumizi ya mafuta, MAZDA
CX5 nyingi ni Diesel
Who said this. Unajifunza fanya review?? Weka data za petrol na diesel na sio kuandika et nyingi ni diesel

Unajua muagizaji ataagiza ipi? ..ku compare fuel consumption kwa engine za mafuta tofauti si sawa,, Kuna RAV4 za diesel ndo compare na hio mazda
 
Hata mafuta yetu zinavumilia? hasa diesel?
 
Mwaka huu ukiniendea vizuri nataka nichukue mazda cx5
 
Nchi nyingi sana za ulaya na Asia zimepiga marufuku kabisa matumizi ya magari ya diesel kwasasa, though magari makubwa bado yanatumia since & since
 
Mkuu hii gari pamoja na kumiminiwa sifa kedekede, mm kwa kweli bado sikaelewi...kama ulivyosema, kamekaa kama dualis na pua kama ya nguruwe..
🤣 🤣 🤣 Hapo kwenye pua kama ya nguruwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…