Subaru forester kushuka bei kwa kasi

Subaru forester kushuka bei kwa kasi

Tractor

Member
Joined
May 23, 2019
Posts
94
Reaction score
139
Kwa taarifa zilizo mtaani Kwa Sasa kwenye ishu ya magari, wadau wanauliza inakuwaje Subaru Forester zinaaanza kushuka Bei za Mauzo?

Wakuu tunaomba kujua Kuna nini kwenye ishu ya Subaru Forester?

Au wabongo wameshaanza kuyangorosha, matumizi mabaya ya uendeshaji?

Kuna jambo huwa najiuliza kwanini gari zikija bongo,zinaharibika haraka hivyo?
Swali je?

Ni kwamba watanzania wengi hatuna Elimu ya magari?
Je, uendeshaji wetu siyo makini?

Au miundominu yetu haviendani na vyombo vya usafiri tunavyonunua?

Au sisi ndo tunanunua magari yaliyozeeka sana yanakuja kutufia huku?

Maana ukiangalia gari nyingi used sehemu kubwa zilizotumika ni huko yalikotengenezwa, unakutana na gari imetembea Km 200,000, lakini ikifika hapa bongo hai huchukui hata mwaka imeshaenda garage zaidi ya mara mia.

Ila Kuna kautafiti Cha kawaida nimefanya nimegundua magari mengi yaliyopo garage ni Marika ya Vijana kuanzia 25-45 na hii hutokana na roughly driving.

Mwenye maoni zaidi.
 
Elimu ya matunzo ya vifaa vya moto
Maana hata huko garage hukuti magari ya wahindi na waarabu maana wao wanatunza sana magari Yao
Miundombinu nayo haiko nyuma gari hadi ifike na kuingia getini basi hakuna dimbwi haijaona
 
Kwa taarifa zilizo mtaani Kwa Sasa kwenye ishu ya magari, wadau wanauliza inakuwaje Subaru Forester zinaaanza kushuka Bei za Mauzo?
Wakuu tunaomba kujua Kuna nini kwenye ishu ya Subaru Forester?
Au wabongo wameshaanza kuyangorosha, matumizi mabaya ya uendeshaji?
Kuna jambo huwa najiuliza kwanini gari zikija bongo,zinaharibika haraka hivyo?
Swali je?
Ni kwamba watanzania wengi hatuna Elimu ya magari?
Je, uendeshaji wetu siyo makini?
Au miundominu yetu haviendani na vyombo vya usafiri tunavyonunua?
Au sisi ndo tunanunua magari yaliyozeeka sana yanakuja kutufia huku?
Maana ukiangalia gari nyingi used sehemu kubwa zilizotumika ni huko yalikotengenezwa, unakutana na gari imetembea Km 200,000, lakini ikifika hapa bongo hai huchukui hata mwaka imeshaenda garage zaidi ya mara mia.
Ila Kuna kautafiti Cha kawaida nimefanya nimegundua magari mengi yaliyopo garage ni Marika ya Vijana kuanzia 25-45 na hii hutokana na roughly driving.
Mwenye maoni zaidi.
Shida tunayaona mapya, Sasa gari km200,000Bado jipya Hilo!
 
Kwa taarifa zilizo mtaani Kwa Sasa kwenye ishu ya magari, wadau wanauliza inakuwaje Subaru Forester zinaaanza kushuka Bei za Mauzo?
Magari mengi nje hununuliwa kwenye minada, kila wiki huwa wanafanya minada ya magari na mawinga huenda kununua pale ili waje wauze.

FORESTER zipo model tofauti na kila model ina bei yake kulingana na umeagiza kwa njia gani au umenunua kwa nani.

Bei za Subaru zinashuka nafikiri kutokana na minadani huko sasa hivi zinauzika sana MAZDA CX-5, so walengaji wengi wanalenga hizo maana biashara ya Tanzania huwa inaenda sana na Trend, kuliko Quality.

But bado bei za FORESTER hazijashuka sana, labda kama unanunua used za Tz.

Nawasilisha.
 
Elimu ya matunzo ya vifaa vya moto
Maana hata huko garage hukuti magari ya wahindi na waarabu maana wao wanatunza sana magari Yao
Miundombinu nayo haiko nyuma gari hadi ifike na kuingia getini basi hakuna dimbwi haijaona
Hata ukifuatilia magari mengi yaliyopo garage ni ya Vijana, ila wamiliki wa magari kuanzia umri wa 50+ hawakuti sana.
 
Magari mengi nje hununuliwa kwenye minada, kila wiki huwa wanafanya minada ya magari na mawinga huenda kununua pale ili waje wauze.

FORESTER zipo model tofauti na kila model ina bei yake kulingana na umeagiza kwa njia gani au umenunua kwa nani.

Bei za Subaru zinashuka nafikiri kutokana na minadani huko sasa hivi zinauzika sana MAZDA CX-5, so walengaji wengi wanalenga hizo maana biashara ya Tanzania huwa inaenda sana na Trend, kuliko Quality.

But bado bei za FORESTER hazijashuka sana, labda kama unanunua used za Tz.

Nawasilisha.
Ahsante sana, umetoa majibu ya Kitaalamu na uzoefu wa magari,🙏🙏
 
Magari mengi nje hununuliwa kwenye minada, kila wiki huwa wanafanya minada ya magari na mawinga huenda kununua pale ili waje wauze.

FORESTER zipo model tofauti na kila model ina bei yake kulingana na umeagiza kwa njia gani au umenunua kwa nani.

Bei za Subaru zinashuka nafikiri kutokana na minadani huko sasa hivi zinauzika sana MAZDA CX-5, so walengaji wengi wanalenga hizo maana biashara ya Tanzania huwa inaenda sana na Trend, kuliko Quality.

But bado bei za FORESTER hazijashuka sana, labda kama unanunua used za Tz.

Nawasilisha.
Mungu nijalie nihamie kwenye mazda cx-5 mwaka huu maana ni gari nalolitamani katika cross overs
 
Mkuu,
Ukisikia taarifa mtaani ingia hata website mbili tatu ufanye utafiti. Mbona bei ziko vile vile au unataka kununua used bongo.
 
Back
Top Bottom