Nimesikitishwa sana na Kiongozi mmoja wa chama cha upinzani kujitokeza hadharani akisifu nchi wahisani kutunyima misaada. Msaada huu ulilenga kuboresha maisha hasa ya wanyonge na kwa utawala WA Magufuli nina uhakika japo huenda kiasi fulani kingekwapuliwa na mwewe watu lakini sehemu kubwa ingefanya kazi.
Naomba kutoa ushauri kwa serikali ya Magufuli kuwa kama asipokuwa makini, serikali yake itawekewa vikwazo vingi na mataifa tajiri, kufuta msaada KWA suala la Zanzibar ni kiashiria kibaya. Akiendelea kuwa mgumu wa kuchukua maamuzi anaweza kuwekewa kikwazo kingine, kama kutosafirisha dhahabu, pamba ya Tanzania chafu, kahawa ya Tanzania inasumu n.k.
Tuache ushabiki kama taifa tushikamane kwenye masuala ya kitaifa tuwe wamoja, tambueni capitalist nations hawapendi kuona taifa lolote Afrika linajitegemea kiuchumi bila kuomba msaada kwao. Ya Gadafi yanaweza kumpata rais wetu, akatangazwa dictator of Africa kisa katishia ustawi WA ubepari.
Najua KWA Tanzania ukiwa NA ELIMU ndogo kama mimi ushauri wako huwa hautiliwi maana ni hadi uwe PhD au Profesa ndio wajue kasema MTU.
Naomba kuwasilusha MAWAZO YANGU.
Naomba kutoa ushauri kwa serikali ya Magufuli kuwa kama asipokuwa makini, serikali yake itawekewa vikwazo vingi na mataifa tajiri, kufuta msaada KWA suala la Zanzibar ni kiashiria kibaya. Akiendelea kuwa mgumu wa kuchukua maamuzi anaweza kuwekewa kikwazo kingine, kama kutosafirisha dhahabu, pamba ya Tanzania chafu, kahawa ya Tanzania inasumu n.k.
Tuache ushabiki kama taifa tushikamane kwenye masuala ya kitaifa tuwe wamoja, tambueni capitalist nations hawapendi kuona taifa lolote Afrika linajitegemea kiuchumi bila kuomba msaada kwao. Ya Gadafi yanaweza kumpata rais wetu, akatangazwa dictator of Africa kisa katishia ustawi WA ubepari.
Najua KWA Tanzania ukiwa NA ELIMU ndogo kama mimi ushauri wako huwa hautiliwi maana ni hadi uwe PhD au Profesa ndio wajue kasema MTU.
Naomba kuwasilusha MAWAZO YANGU.