Suala la kuachwa Ajibu, Taifa Stars

Suala la kuachwa Ajibu, Taifa Stars

Abatmwe

Senior Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
110
Reaction score
79
Ukiwa kama mdau wa michezo, nimejaribu kuangalia kikosi kilichotajwa, hususani kwa upande wa washambuliaji nimeshindwa kuelewa kwann watu walalamika swala la kuachwa Ajibu

Katika list apo chini, naona kuna wigo wa maprofessional players tu sasa sijajua tumtoe nani tumweke Ajibu

Ushauri wako tu
IMG_20190607_151128.jpeg
 
unamchukua ulimwengu aliyechuja kitambo sana unamuacha ajib aliye on fire ,kisa tu ulimwengu anachenza nje ya bongo
 
Hamna kitu kama hicho, Amunike hajawai mkubali huyu dogo
Ajib anajiona cr7...ni ngumu sana kufanya nae kazi kama kocha labda uweke ushkaji

Jamaa hafai kabisa utoto mwingi sana
 
Back
Top Bottom