wana JF naomba kuuliza, hiv kama m2 hajapata mkopo kabisa kwa sababu ya PRIVIOUS LOANEES anaweza ku appeal? kama anaweza, Je ?utaratib wa ku appeal ukoje? maana nlckia wanao appeal ni wale waliopunjwa.
Mkuu Kama upo dar,ni vyema ukafika ofisin kwao pale,utapata msaada tosha sababu hlo tatizo lako ni gumu na linahitaji vithibitisho kuwa wewe hukuwah pata mkopo hapo kabla.
Mkuu Kama upo dar,ni vyema ukafika ofisin kwao pale,utapata msaada tosha sababu hlo tatizo lako ni gumu na linahitaji vithibitisho kuwa wewe hukuwah pata mkopo hapo kabla.