Suala la Dkt Mengi latinga bungeni

Suala la Dkt Mengi latinga bungeni

Kwani eti Mengi ni nani.

It does not matter Mengi ni nani? Kila raia wa Tanzania ana haki ya kulindwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Where are we going. This government ya rais kilaza na mwizi ndiyo imetufikisha hapa.
 
Wewe acha kujidanganya mitandaoni ndugu. Wewe una ubavu wa kumtetea Mengi? Unamtetea dhidi ya nini? Hivi kweli kwa akili yako ya JF unamuona Mengi anafanana na mtu aliyetishiwa maisha?
Umejitahidi kuongea bila kufikiri. Hongera.
Unauliza Mengi ni nani? Aende police kuripoti Ikulu? Na huelewi kama alihoji kilicho andikwa?

Please don't do this to your self and your society. Think again as you still have chance to build your credibility
 

It does not matter Mengi ni nani? Kila raia wa Tanzania ana haki ya kulindwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Where are we going. This government ya rais kilaza na mwizi ndiyo imetufikisha hapa.



Hatutofanya makosa tena...
 
Back
Top Bottom