Yohane leonard
Member
- Oct 22, 2016
- 47
- 29
Wengine hapa walishaanza kuulizia boom la pili lakini kuna watu mpaka leo majina ya kusaini hskuna hasa 1st year Tutakufa na njaa aseeeh mtu unakosa hata 10 mfukoni afu unajiita upo sokoine univerdity....duhh too much sasa