jastin mwidete
Member
- Sep 2, 2018
- 13
- 0
Jaman naskia SUA wameachia majna mengne mwenye nayo nayaomba
kozi gani mkuu ?Ndio yapo ilaaa kuna dogo ameomba ana div 11 ya 11 ameachwa first selection tunasubr labda shv wanachukua one za 3 tuu
Bvm .agronomy.general agriculture.kozi gani mkuu ?
Labda wanachuku one pekeeHuko sua kuna shida gani?mdogo wangu kaomba na ana two ya 10 ila hajapata. Kaomba BLS, VET na food
Kuna uwezekano huo
Inabd ushindani uongezeke katika vyuo sema ndo hivyo private sector inabanwa sanaKuna uwezekano huo
Kwani wakishaconfirm wote huwezi jua nafasi ngapi zimebaki kwa course gani?Inabd ushindani uongezeke katika vyuo sema ndo hivyo private sector inabanwa sana
Sijajua nahc tusubrKwani wakishaconfirm wote huwezi jua nafasi ngapi zimebaki kwa course gani?
SawaSijajua nahc tusubr
Wapo weny 10 wamepata
Nadhani ni ushindani...amesoma masomo gani advanceHuko sua kuna shida gani?mdogo wangu kaomba na ana two ya 10 ila hajapata. Kaomba BLS, VET na food
Kasoma CBG na matokeo yake niNadhani ni ushindani...amesoma masomo gani advance