SUA NINI MNACHOFANYA?

SUA NINI MNACHOFANYA?

GONZZ EPACLEM

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2016
Posts
312
Reaction score
240
Habari wana JF leo trh 03/10/2018 second batch SUAwamerelease lakini sijaelewa vema kuhusu udahili wao awamu ya 2 na ya 3, nikiingia kwenye account no updates yoyote bali account ipo vilevile kama nilivo submit during application ,
Sasa hii inamaanisha nn?
1. ni kwamba 3round procesess wataendlea kuni consider ijapo sikuweza ku RE-APPLY?
2.Au ndo basi tena ijapo hata majina waliotoa nimachache tu about 399,na ni baadhi ya kozi about 25?

Mwenye info tujuzane,


THANKS
 
Kwan Hujapata Chuo Mkuu? Kiujumla SUA Wanazingua Mwenyewe Niliomba Na Status Yangu Haijabadilika Kama Nimekosa Au La
 
Muhenga ila mdogo angu nlimuombea pale, ajabu hakuna updates yoyote kwenye account yake zaidi ya alivoisubmit tu
 
Umeanglia majina hujachaguliwa?
Hata Mwaka Jana ilitokea, cha msingi subiri ama vema zaidi wasiliana nao ni wasikivu.
 
Watu walio chaguliwa ni wachache mmno unakuta coz kachaguliwa mmoja au wawili, pengine sababu itakuwa ni nini
 
Watu walio chaguliwa ni wachache mmno unakuta coz kachaguliwa mmoja au wawili, pengine sababu itakuwa ni nini
Kuchukuliwa mmoja au wawili maana yake ndo nafasi iliyokuwa imebaki baada ya first selection, ammbazo hawajatoa maaana yake zilijaa tokaa awamu ya kwanza
 
kwanini hawakuziondoa kwenye pannel ya udahili kama zilijaa toka 1round tukawa na uhakika na tulichokuwa tumekiomba kuliko kuomba coz ambazo zimejaa 1round? mfumo unakera sana
 
ndugu yangu ka confirm sua wamemtumia admission letter na joining lkn kuna mwngne kachaguliwa sua ameconfrm na wamemtumia vyote na registration number huyu ndugu yang hakutumiwa hiv hii inakuaje mweny ufahamu ??
 
Nafikiri cha muhimu ni Admission letter na joining instructions kwa sababu ukifika chuo utapewa hiyo Registration nambaako kulingana na course uliyochaguliwa na wao watakavofanya students registration kwa wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza waliofika chuo kwa kozi husika.mfano mimi mwaka jana nilipewa admission letter, joining instructions hapohapo nikapewa na registration ya kozi ya BTM lakini sikwenda kusoma hapo SUA.
ndugu yangu ka confirm sua wamemtumia admission letter na joining lkn kuna mwngne kachaguliwa sua ameconfrm na wamemtumia vyote na registration number huyu ndugu yang hakutumiwa hiv hii inakuaje mweny ufahamu ??
 
Nafikiri cha muhimu ni Admission letter na joining instructions kwa sababu ukifika chuo utapewa hiyo Registration nambaako kulingana na course uliyochaguliwa na wao watakavofanya students registration kwa wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza waliofika chuo kwa kozi husika.mfano mimi mwaka jana nilipewa admission letter, joining instructions hapohapo nikapewa na registration ya kozi ya BTM lakini sikwenda kusoma hapo SUA.
asante sana kwa maelezo yako nilidhan no tatizo
 
asante sana kwa maelezo yako nilidhan no tatizo
Cha muhimu sana hapo ni admission letter kutoka chuo husika maana huo ni utambulisho wako unaonesha ulichaguliwa kozi ipi kulingana na qualification yako pia joining instructions inatoa maelezo ya vitu vya kuzingatia wakati unataka kujiunga na chuo na kuanza chuo nini ulipe na nini cha kufanya.kwa maana hiyo wanatoa admission letter na joining instructions kwa pamoja.nafikiri tupo wote mkuu kila la heri
 
Wanazingua kila mahali, hapo itakuwa wanakupa salamu za juu😎.... Km upo karibu wafuate chuoni administrative block kawaulizie ana kwa ana. Km upo mbali piga hata simu zilizopo kwenye website waulize. Kuna mijitu ikipata ajira inadhani imefika mbinguni...inajisahau, wanaleta ukuda kwenye mambo ya msingi ya wengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom