SUA hatujapata mkopo mpaka sasa

SUA hatujapata mkopo mpaka sasa

wilsonilanga

Member
Joined
May 26, 2013
Posts
79
Reaction score
14
magufuli raisi wetu waangalie na watoto wetu sua maana tumechoka kuombwa pesa wakati walipewa mkopo lakini cha ajabu mpaka sasa wanadai hawajapata pesa yao ya kujikimu tangu wamefungua chuo ebu raisi wetu magufuli jaribu kuangalia na hilo maana imeshakuwa balaa kwa watoto wetu kwa swala la mkopo
 
Mkome Nani alikudanganya kuwa ccm ni nzuri njoo akili ziwakae
 
hivi wazir amesema kuwa pesa ziko vyuon udsm,udom,uoi nk hao nadhan sasa hivi wamesahau kama wana boom maana wamepata zamani sana mi nadhan vyuo ndio vinachelewesha mbona vingine wamepata?
 
naona tatizo lipo chuoni maana vyuo vingne wote walishapata kitambo
 
Yawezekana wajanja wameziweka bank fixed deposit ili wapate cha juu! Haiwezekani upite mwezi mmoja na nusu tangu chuo kufunguliwa na boom liwe bado kutoka! Tafadhali mama Ndalichako wape siku tatu SUA wawe wametoa boom! Huwezi kutegemea elimu bora katika mazingira kama haya!
 
Bora aliyepata lakini kacheleweshewa,,,, !!! Unafanya test na njaa! Mungu yupo!
 
Ndalichako mama haya mateso wanayoyapata hawa watoto ni Nani wa kuwajibika? Serikali imetoa pesa za mkopo lakini hapa katikati kuna miungu watu waliokubuhu kupiga dili! Vinginevyo tuseme serikali imetoa mikopo HEWA!
 
Back
Top Bottom