STUKA!!; Hii tu ndio janja ya CCM!

Ni uchaguzi ujao pia watapima ilani za vyama kabla ya kuamua.CCM has the best manifesto

Mwigulu Nchemba ..... huna aibu kabisa ..... kwa maisha haya what is the best practicable manifest

very poor
 
Ni uchaguzi ujao pia watapima ilani za vyama kabla ya kuamua.CCM has the best manifesto
ni sahihi kabisa kuwa CCM has the best MANIFESTO. Lakini unajua kuwa watu hatupimwi kwa yale tuyasemayo bali kwa yale tuyatendayo? FILIKUNJOMBE, anapendwa ni kwa sababu ya yale aliyoyafanya mjengoni na sio ilani yake ya uchaguzi. Hivyo LATENT ni zaidi ya MANIFESTO, ndiyo nguvu ya CHADEMA, wanaonekana wakitenda, wakiitesa serikali yako iliyojaa wezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…