Studio ya Music.

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,016
Habari zenu wakuu,
Naamini hapa niko jukwaa sahihi la wataalamu wa mambo ya teknolojia tena ya kisasa kabisa.

Naomba kufahamishwa ni vifaa gani(Vya kisasa kwelikweli) muhimu kwa kuanzisha studio ya kurekodia Audio music?

Ingekua jambo la hekima zaidi kama anayefahamu angenipa na rough estimate ya bei zake kwa hapa bongo na hata vinakopatkana.

Ni matarajio yangu ni nitapata info za kueleweka kutoka kwa wajuzi katika jukwaa hili.
Ahsanteni sana.
 
Last edited:
Sawa mkuu.. Mimi kwa vifaa nafahamu ila bei nimeshindwa kwa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…