figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,717
- 55,819
Maafisa wa bunge waingizwa matatani, studio ya bunge nayo kikaangoni. NI Suala la kuonyesha 'clip' ya aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani chales kitwanga na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii.
Hivi karibuni, Waziri wa mambo ya ndani alivuliwa uwaziri, kwa kile kilichodaiwa ameingia bungeni akiwa amelewa.
Baadae Kwenye mitandao ya kijamii, ikaonekana video liyodaiwa inamuonesha Waziri aliyetimuliwa akiwa amelewa.
Sasa wanatakiwa watajane aloisambaza hiyo video.
Hivi karibuni, Waziri wa mambo ya ndani alivuliwa uwaziri, kwa kile kilichodaiwa ameingia bungeni akiwa amelewa.
Baadae Kwenye mitandao ya kijamii, ikaonekana video liyodaiwa inamuonesha Waziri aliyetimuliwa akiwa amelewa.
Sasa wanatakiwa watajane aloisambaza hiyo video.