Student's unlimited freedom

NA WEWE NI MWALIMU
MWENYE MAADILI YA KAZI
YAKO?
 
Kama mwalimu ni mlezi nikwa utashi wake,halipwi ili alee bali aelekeze. Sasa kama wakati anaelekeza kukitokea mambo yanayohitaji kuwa mlezi awe makini isimtokee puani.
Kama unakubali Mwl ni mlezi basi usipinge watoto wetu kuchapwa, lazima wachapwe maana hata wakirudi kwangu wajapofanya makosa lazima niwachape, sijalazimisha Mwl awe mlez naomba uelewe hilo
 
Hapa naona umuhimu wa Serikali kukaa na kusort na Waalimu.
 
Huo ushenzi uko wapi?
Ni lini umesikia suala la ajabu ajabu limetokea shule binafsi?
Tatizo lenu walimu wa serikali mnafanya kazi kwa mazoea


Mkuu mambo yanatokea sana tuu huko shule za private. Sio zote ziko kama jinsi unavyofikiria. Ni hivi majuzi tuu shule moja ya wasichana mkoani Mara jina nalihifadhi mabinti wa kidato cha nne walirudishwa nyumban kwa kosa la kufanya fujo shuleni na kuharibu gari la mwalimu Mkuu....Kwahyo ndugu yangu kaa ukijua sio kila Mzungu ni Padre.
 
Mungu tunaomba usimame kati yetu maana kwa akili zetu mengi yatatufikisha pabaya
 
Reactions: mob
Kama unakubali Mwl ni mlezi basi usipinge watoto wetu kuchapwa, lazima wachapwe maana hata wakirudi kwangu wajapofanya makosa lazima niwachape, sijalazimisha Mwl awe mlez naomba uelewe hilo
Ulifundishwa jinsi yakulea na ukafaulu au ni utashi wako binafsi. Nikikushitaki kwa kumchapa mtoto nakumsababishia maumivu utatumia nini kujitetea?
 
Mtapata dhambi mkifanya hivyo

kama dhambi wanapata walimu tu basi tena division 5 haikuwatosha wanataka division 7 wataleta HUGE RESULT maana big results haitatisha.
Wanafunzi wengi walioko vyuo vikuu wa big result wanatia huruma akiaimama kuwasiliaha hija humtifautishi na form one kabisa no organization yaani!

Kwakuwa ilibidi marks ziwafuate wanafunzi hadi wafaulu ila sahivi watashangaaa
 
Kwani wale walimu pale Mbeya day yale waliyofanya ndiyo malezi?
 
Ulifundishwa jinsi yakulea na ukafaulu au ni utashi wako binafsi. Nikikushitaki kwa kumchapa mtoto nakumsababishia maumivu utatumia nini kujitetea?
Kweli Dunia imepotoka, basi tuishie hapa mkuu " mtoto wa mwenzio ni mkubwa mwenzio"
 
Mkuu uko sahihi sana kwa hayo mawazo yako,sababu watu wengi san wame turn against teachers, kwa tukio hilo, na ukajaribu kuli call ,proffesiona nyingine kama engineers majengo mengi hayako imara na what if hayo majengo yakianguka, hatua zipi zitachkuliwa kwa hao watu, pia mkuu tujaribu kuangali maswala ya mahospitalini madudu mangapi yanatokea na yananyamaziwa kisa doctorate ,wagonnjwa wangapi wanaachwa na mikasi matumboni sheria zipi zinachkuliwa kwao hao,mwalimu kumuadabisha mwanafunzi mnakuja juu , eti mnasema

"Anapajua labour Huyoo",, we mwenyewe usingepajua labour bila huyoo mwalimu

na hapa hakuna mwalimu wa vitendo wala nini wote ni waalimu tuache kasumba chafuu kabisa

WALIMU hapa hawathaminiwi kabisaa jaribu kwenda nchi nyingine uone hadhi ya waalimi ndo hapo tutakapo jiona kuwa WALIMU hapa nchini wapo katika nchi ya kufikilika


hebu wanfunzi wapewe extremely freedom kwanza kwa mhula mmjoa tuonee
 
Kweli Dunia imepotoka, basi tuishie hapa mkuu " mtoto wa mwenzio ni mkubwa mwenzio"
Fundisha na fanya yote yanakuhusu ktk kazi yako,suala lakujifanya polisi,mahakama na magereza achia wahusika wanaopewa mamlaka hayo na sheria za nchi. The best you can do kama mzazi anatoa ushirikiano mshilikishe yeye mwenyewe atoe hukumu.
 
We uliejiuliza hebu tupe majibu, si ushasema ni mambumbumbu sasa mbumbumbu unategemea awaze nini?
 
Sasa wewe ni mwalimu wa kiswahili halafu unaandika utumbo huko kwenye blue,wewe kuitwa MBUMBUMBU itakuwa ni sahihi tu.
Alafu unajifanya unajua kiswahili, vingine muwe mnakaa kimya tu.
 
Fundisha na fanya yote yanakuhusu ktk kazi yako,suala lakujifanya polisi,mahakama na magereza achia wahusika wanaopewa mamlaka hayo na sheria za nchi. The best you can do kama mzazi anatoa ushirikiano mshilikishe yeye mwenyewe atoe hukumu.
Kwaiyo umenijumuisha kuwa Mwl. Unachanganyikiwa wewe mimi binafsi ruksa Mwl kuwa mlez kwa watoto wangu, kwa maana muda niutumiao mimi na watoto si sawa na ule autumiao Mwl kwa wanangu hivyo mimi ni mzazi yeye ni mlez wangu na ana mamlaka yote ya kufanya vile ambavyo mimi ningemfanya mwanangu Mara baada ya kugundua amepotoka
 
Serikali ya Tanzania hajawahi kuwahitaji walimu kwa umuhimu unaoutaja hapa
Kwel kabsa,tena hii nchi huwa haioni faida ya walimu kabsa,kuna sku walishasema hata wakgoma anaweza ajiriwa wengne waliomaliza form tena kwa muda mfupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…