Habari wataalamu wote. Kuna mfumo unaitwa STUDENTS INFORMATION SYSTEM (SIS) Unaoweza Kuwa na features kama vile;
1. Students admission
2. Staff management
3. Classroom management
4. Communication (SMS)
5. Parent management
6. Online admission
Mwenye nao Tafadhali tuwasiliane 0754004189